Charles Hilary kuzikwa Zanzibar Mei 14, hii hapa ratiba kamili
Unguja. Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) unatarajiwa kuzikwa Jumatano Mei 14, 2025 katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar. Katika ratiba ya serikali iliyotolewa na kitengo cha Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar, mwili wa marehemu utatolewa katika hospitali ya Mloganzila na kupelekwa nyumbani…