MWAIJOLELE AIBUKA KIDEDEA NAFASI YA KUIWAKILISHA CCK URAIS 2025
Mwenyekiti Taifa wa Chama cha Kijamii cha CCK David Daudi Mwaijolele ambaye pia amepitishwa kwa kupigiwa kura kugombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bara akizungumza katika mkutano Mkuu maalum wa Chama hicho ambao umefanyika tar 10/5/2025 jijini Dar es salaam. Naibu Msajili wa vyama vya siasa nchini Sisty Nyahoza akizungumza na…