Jinsi Bunge lilivyopitisha bajeti Wizara ya Maji

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka 2025/26 likitumia takribani dakika 10. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso jana Mei 8, 2025 aliliomba Bunge kuidhinisha Sh1.01 trilioni kwa ajili ya wizara hiyo, kati ya hizo Sh943.11 bilioni ni kwa ajili ya miradi maendeleo. Katika mwaka 2024/25 Bunge liliidhinisha Sh627.78 bilioni kwa ajili ya…

Read More

THE ROYAL TOUR YAZIDI KUIFUNGUA SEKTA YA UTALII. 

……….. Na Mwandishi wetu  Filamu ya The Royal Tour imezidi kuleta matokeo chanya katika sekta ya Utalii kutokana na mwamko mkubwa kwa wawekezaji hususan wa Hotel za kitalii kuendelea kuwekeza kwenye maeneo mbalimbali hasa kwenye Hifadhi za Taifa ili kwendana na kasi kubwa ya watalii wanaoingia nchini. Akizungumza baada ya kutembelea Hoteli ya Serengeti Explore…

Read More

TET yajitosa kuelimisha matumizi ya akili bandia

Dar es Salaam. Walimu na wanafunzi nchini wanatarajia kunufaika na mkataba mpya uliosainiwa kati ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Kampuni ya Tanzania AI Community, wenye lengo la kuboresha mbinu za ufundishaji na ujifunzaji kwa kutumia teknolojia ya akili bandia (AI). Makubaliano hayo yanayolenga kuimarisha matumizi ya majukwaa ya kidijitali katika shule za msingi…

Read More

Wabunge CCM wamuangukia Makalla wakidai barabara

Morogoro. Wabunge wa Ulanga na Malinyi wamesema licha ya kazi kubwa iliyofanywa na Serikali ya kupeleka maendeleo katika wilaya hizo,  bado wanakabiliwa na changamoto ya barabara wakimuomba Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla kuisukuma ajenda hiyo ili kuboresha miundombinu hiyo. Hata hivyo, wameishukuru Serikali kwa kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi…

Read More

WAZIRI AWESO ATANGAZA KIFO CHA MDOGO WAKE

……. Waziri wa Maji ambaye ni Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake Alli Aweso (Babu Ali) kilichotokea Dodoma leo asubuhi wakati waziri akihitimisha bajeti ya wizara ya maji. Mazishi yatafanyika Sakura Pangani. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.Amin  

Read More