Nchini Zimbabwe, wakulima wanaongoza utafiti wa kisayansi juu ya kilimo cha uhifadhi – maswala ya ulimwengu

Migren Matanga, mkulima mdogo kutoka Rushinga, ameshikilia moja ya mazao yake madogo ya nafaka. Mikopo: Farai Shawn Matiashe/IPS na Farai Shawn Matiashe (Bulawayo, Zimbabwe) Ijumaa, Mei 9, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Bulawayo, Zimbabwe, Mei 9 (IPS) – Migren Matanga alikua akitoka mbali na nafaka ndogo na za jadi huko Rushinga, kaskazini mwa Zimbabwe….

Read More

Rais Samia kuongoza waombolezaji kuaga mwili wa Msuya

Dar es Salaam. Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ataowangoza Watanzania katika tukio la kumuaga marehemu Waziri Mkuu na Makamu wa Rais mstaafu, Cleopa Msuya. Hafla hiyo itakayoambatana na ibada maalumu, inatarajiwa kufanyika Mei 11, 2025 katika viwanja wa Karimjee kuanzia saa 3 asubuhi na kuongozwa na viongozi wa dini, pia,…

Read More

Aliyembaka bibi, jela miaka 30

Arusha. Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Dodoma, imeridhia hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela aliyopewa Iddi Zuberi, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 67. Tukio hilo lilitokea Agosti 7, 2024, katika Kijiji cha Kinkima, Wilaya ya Chemba, mkoani Dodoma, ambapo mrufani alimbaka mwanamke huyo alipomkuta shambani kwake akivuna…

Read More

Ahueni kwa magari, bajaji za gesi

Dar es Salaam. Changamoto ya madereva kukaa foleni muda mrefu kusubiri nishati ya gesi jijini Dar es Salaam huenda ikafikia tamati baada ya Serikali kuzindua kituo mama kitakachotoa huduma kwa vyombo vya moto 1,200 kwa siku. Kituo mali ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kilichozinduliwa mkabala na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam…

Read More