Dakika 180 zampa faraja David Ouma

BAADA ya kucheza dakika 180 dhidi ya Fountain Gate katika mechi mbili za kirafiki, kocha mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema ataendelea kusaka mechi zaidi kujiweka tayari kuikabili Simba katika mechi mbili mfululizo ikiwamo ya Ligi Kuu na nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA).

Read More

EWURA INADHIBITI MAMLAKA ZA MAJI 85 MIJINI

 :::::: Hadi kufikia Aprili, 2015, EWURA ilikuwa ikizidhibiti kiufundi na kiuchumi jumla ya mamlaka za maji na usafi wa mazingira 85 zilizoko katika miji mikuu ya mikoa, miji ya wilaya na miji midogo kupitia Sheria ya EWURA Sura Na. 414.  Sheria hiyo inaipa EWURA majukumu ya kutoa leseni kwa mamlaka za maji na kusimamia masharti…

Read More

Mkurugenzi wa Jatu aomba kuiachia mahakama kesi yake

Dar es Salaam. Peter Gasaya (33), mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Jatu PLC anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, amesema anaiachia Mahakama ishughulikie kesi yake. Gasaya anakabiliwa na mashtaka mawili –kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha kiasi hicho cha fedha, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Kupitia wakili…

Read More

Kipigo cha 5-1 chamzindua Minziro

KIPIGO cha mabao 5-1 ilichopewa Pamba Jiji kutoka kwa Simba, kimemfanya kocha wa timu hiyo, Fred Felix ‘Minziro’ kuzinduka na kutambua ana kibarua kizito cha kupambana hili kuiokoa timu hiyo kwa mechi tatu zilizosalia, tofauti na alivyotarajia awali. Minziro alisema kwa sasa ana mtihani mzito kutoka kwa timu wapizani wanaochuana eneo la mkiani kupambana kuepuka…

Read More

UDART YAZINDUA BASI LA KWANZA LINALOTUMIA GESI ASILIA JIJINI DAR ES SALAAM

 ::::::::: Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) umezindua basi lake la kwanza linalotumia gesi asilia iliyosindikwa (CNG), hatua inayolenga kupunguza gharama za uendeshaji na kuboresha mazingira ya usafiri jijini Dar es Salaam,Uzinduzi huo umefanyika katika kituo cha TPDC, ukiashiria mwanzo wa mabadiliko makubwa katika sekta ya usafiri wa umma,basi hilo ni la kwanza kati ya…

Read More