TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipindi cha Januari – Machi 2025 jumla ya shiningi milioni 13,555,000 zimeokolewa kutokana na ufuatiliaji na utekelezaji wa miradi ya Maendelea 32 ya sekta ya elimu afya, ujenzi, barabara na Maendelea ya…