Rais Samia kuongoza waombolezaji kuaga mwili wa Msuya

Dar es Salaam. Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ataowangoza Watanzania katika tukio la kumuaga marehemu Waziri Mkuu na Makamu wa Rais mstaafu, Cleopa Msuya. Hafla hiyo itakayoambatana na ibada maalumu, inatarajiwa kufanyika Mei 11, 2025 katika viwanja wa Karimjee kuanzia saa 3 asubuhi na kuongozwa na viongozi wa dini, pia,…

Read More

Aliyembaka bibi, jela miaka 30

Arusha. Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Dodoma, imeridhia hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela aliyopewa Iddi Zuberi, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 67. Tukio hilo lilitokea Agosti 7, 2024, katika Kijiji cha Kinkima, Wilaya ya Chemba, mkoani Dodoma, ambapo mrufani alimbaka mwanamke huyo alipomkuta shambani kwake akivuna…

Read More

Ahueni kwa magari, bajaji za gesi

Dar es Salaam. Changamoto ya madereva kukaa foleni muda mrefu kusubiri nishati ya gesi jijini Dar es Salaam huenda ikafikia tamati baada ya Serikali kuzindua kituo mama kitakachotoa huduma kwa vyombo vya moto 1,200 kwa siku. Kituo mali ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kilichozinduliwa mkabala na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam…

Read More

Aweso apata mtihani, afiwa siku ya hotuba yake ya bajeti

Dodoma. Kifo ni fumbo. Hivi ndivyo unavyoweza kusema kwani kinaweza kumtokea mtu mahali na wakati wowote kama ilivyo kwa Babu Ali. Wakati Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akiwasilisha hotuba ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/26 bungeni jijini Dodoma, kwenye majukwaa ya wageni kulikuwa na ndugu na wageni mbalimbali waliokuja kumsindikiza. Miongoni mwao alikuwepo Babu…

Read More