‘Trump anaendeleza lahaja ya karne ya 21 ya US, inayoungwa mkono na itikadi nyeupe ya utaifa’-maswala ya ulimwengu

na Civicus Jumatano, Mei 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mei 07 (IPS) – Civicus inazungumza juu ya kupungua kwa demokrasia huko USA na mwanaharakati wa kibinadamu na asasi za kiraia Samuel Worthington, Rais wa zamani wa Jumuiya ya Asasi za Kiraia za Amerika Mwingiliano na mwandishi wa kitabu kipya, Wafungwa wa Matumaini: Kitendo…

Read More

KenGold yaipeleka Simba Ruvuma

KENGOLD iliyoshuka mapema hadi Championship kutoka Ligi Kuu Bara iliyoicheza kwa mara ya kwanza msimu huu, imepanga kuipeleka mechi dhidi ya Simba iliyopangwa kupigwa Juni 18 Uwanja wa Majimaji, Songea, mkoani Ruvuma, endapo taratibu za ukaguzi uwanjani hapo zitakamilika mapema.

Read More

MAJALIWA AHANI MSIBA WA MHE. CLEOPA DAVID MSUYA*

 ::::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Mei 8, 2025 amehani msiba wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Cleopa David Msuya, Upanga Jijini Dar es Salaam. Akizungumza na wanafamilia pamoja na waombolezaji wengine, Mheshimiwa Majaliwa, amewasihi kuendelea kumuombea Mhe. Msuya na wawe wavumilivu katika kipindi hiki kigumu. Marehemu Cleopa Msuya…

Read More

IMANI POTOFU ZINAVYO HARIBU UBORA WA PAMBA NCHINI

Na Daniel Limbe,Torch media SERIKALI imezindua rasmi msimu wa ununuzi wa zao la pamba kwa mwaka 2025/26 huku ikitangaza bei elekezi ya shilingi 1,150 kwa kila kilogramu moja ya Pamba safi itakayouzwa na mkulima kwa wanunuzi binafsi na vyama vya msingi vya ushirika (Amcos) kwa bei ya ushindani ili kuinua uchumi na tija kwa jamii….

Read More

Hivi ndivyo trilioni moja za Wizara ya Maji zitakavyotumika

Dodoma. Bunge limeombwa kuidhinishia Sh1.01 trilioni kwa ajili ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2025/26, huku vipaumbele sita vikiainishwa, kikiwemo cha utekelezaji wa miradi ya maji 1,544 inayoendelea kutekelezwa nchini. Ombi hilo limetolewa leo, Alhamisi Mei 8, 2025, na Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara…

Read More