Amuua mpenzi wake akimtuhumu kumuambukiza Ukimwi

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia Samwel Emmanuel (20) kwa tuhuma za mauaji ya Josephina Magani (52), kwa madai kwamba alimwambukiza virusi vya Ukimwi. Taarifa za awali zinaeleza kuwa baada ya Emmanuel kugundulika kuwa na maambukizi ya virusi hivyo, alimlaumu Magani kuwa chanzo cha hali hiyo. Inadaiwa kuwa kutokana na hasira hizo, alichukua hatua…

Read More

CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA UBORA WA MIRADI

………………………….. Na Daniel Limbe,Torch media HALMASHAURI ya wilaya ya Chato mkoani Geita,imeipongeza shule ya sekondari ya ufundi Chato kwa kazi nzuri ya Usimamizi wa miradi ya ujenzi wa madarasa kwenye baadhi ya shule za sekondari. Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya hiyo,Mandia Kihiyo,mbele ya Baraza la madiwani huku akidai uwepo wa shule…

Read More

Wengine watano wajivua uanachama wa Chadema, wamlaumu Heche

Dar es Salaam. Makada wengine watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiongozwa na aliyekuwa katibu wa kundi la G55, Edward Kinabo wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho, huku wakimnyooshea kidole Makamu Mwenyekiti, John Heche kwa madai kwamba amekuwa akitoa maneno yanayochoche chuki na mgawanyiko badala ya kuwaunganisha wanachama. Wengine walioungana na Kinabo ni…

Read More

TRA YAZINDUA TUZO YA WABUNIFU WA KUONGEZA WIGO WA KODI

::::::::::: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Tuzo ya Ubunifu ambayo itahusisha mawazo ya Ubunifu kutoka kwa Watanzania kuhusu namna bora ya kuongeza wigo wa Kodi kwa kuainisha vyanzo vipya vya Kodi. Uzinduzi huo umefanywa tarehe 08.05.2025 Jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Mhe. Stanislaus Nyongo…

Read More

‘Ubaya Ubwela’ ilivyomchanganya Dk Bashiru

Dk Bashiru kwani misamiati yote aliyoitoa Waziri unataka kutuambia unaijua isipokuwa hilo moja tu. Yaani Balozi Dk Bashiru Kakurwa amesema misamiati ya Waziri wa Maji Jumaa Aweso yote anaielewa isipokuwa huo ambao haupo kwenye kamusi yake. “Mheshimiwa Spika, nimemuelewa Waziri kwa kila neno na maneno yake magumu na misamiati yote, isipokuwa neno moja la ‘Ubaya…

Read More

EWURA YAIDHINISHA MIKATABA NANE HUDUMA KWA WATEJA

:::::::::: Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Usafi wa Mazingira (EWURA) imeidhinishs mikataba 8 ya huduma kwa mteja ya mamlaka za maji za Moshi, Makonde, Ruangwa, Songea, Makambako,KASHWASA, Morogoro na Kahama kati ya Julai 2024 hadi Aprili 2025. Katika kipindi hicho, EWURA ilifanya mapitio ya mipango-biashara ya mamlaka za maji 10 nchini.  Sheria…

Read More

Rais Samia amwandikia Putin barua Siku ya Ushindi Urusi

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuandikia barua ya pongezi Rais wa Urusi, Vladimir Putin, akimpongeza kwa maadhimisho ya Siku ya Ushindi (Victory Day), siku inayokumbukwa kwa ushindi wa Urusi katika Vita Kuu ya Pili ya Dunia dhidi ya Ujerumani. “Kwa niaba ya Watanzania, nakutumia salamu za pongezi za dhati kwa kuadhimisha…

Read More