Bastola inayohusishwa kutumika mauaji ya mbunge yapatikana

Nairobi. Polisi nchini Kenya wamesema wamefanikiwa kupata bastola inayoshukiwa kutumika katika mauaji ya Mbunge wa Kasipul, Charles Ong’ondo Were, kufuatia msako mkali uliofanyika katika eneo la Chokaa, Nairobi. Mbunge Were aliuawa Aprili 30, 2025 kwa kupigwa risasi na mtu aliyekuwa kwenye pikipiki katika Barabara ya Ngong Jijini Nairobi. Kwa mujibu wa tovuti ya KBC, gari…

Read More

SERIKALI INAENDELEA KUTEKELEZA MPANGO WA URASIMISHAJI WA MAKAZI

Na Janeth Raphael MichuziTv – Bungeni -Dodoma MBUNGE wa Kinondoni,Tarimba Abasi (CCM) amehoji ni lini Serikali itakamilisha zoezi la urasimishaji wa maeneo ya Squaters katika Jimbo la Kinondoni. Akijibu swali hilo leo Bungeni Machi 8,2025 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geophray Pinda amesema Serikali inaendelea kutekeleza Mpango wa Urasimishaji wa makazi…

Read More

Papa mpya bado hajapatikana, Moshi mweusi wafuka tena

Vatican. Katika siku ya pili ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa Papa mpya leo Mei 8, 2025 umeshuhudiwa moshi mweusi kupitia dohani katika kanisa dogo la Sistine kuashiria bado hajapatikana. Makardinali 133 bado hawajamchagua mrithi wa Papa Francis aliyefariki dunia Aprili 21,2025. Ikiwa ni mwishoni mwa upigaji kura mara ya pili, moshi mweusi ulitoka kwenye…

Read More

Chatanda ashuhudia utiaji saini wa Bilioni 13.3 kuboresha miundombinu Rufiji

-Mhe. Mchengerwa azindua Ligi ya ”Mchengerwa Mtu Kazi”. Na John Mapepele Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mhe. Mary Pius Chatanda ameshuhudia utiaji saini wa mikataba mitano ya bilioni 13.3 zilizotolewa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ili kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja wilayani Rufiji, huku Mhe. Mchengerwa akizindua rasmi Ligi ya ”Mchengerwa Mtu Kazi” inayoanza…

Read More

Cleopa Msuya alama ya binadamu aliyeishi mbele ya wakati

Mtumishi wa umma aliyegeuka mwanasiasa. Mhusika muhimu katika ukuaji wa sekta binafsi. Kiongozi mwenye maono aliyeifanya tasnia ya fedha Tanzania ifike ngazi ya kijamii. Ndivyo unaweza kuuelezea kwa kifupi kabisa, uhusika wa Cleopa David Msuya. Mwaka 2000, Msuya alikuwa mhusika kiongozi na mbeba maono, aliyefanikisha kuanzishwa kwa Benki ya Kijamii Mwanga. Ikajulikana zaidi kama Benki…

Read More

TBS YADHAMIRIA KULINDA AFYA NA MAZINGIRA KUPITIA VIWANGO VYA NISHATI SAFI

Na Mwandishi Wetu, Arusha WADAU mbalimbali wa tasnia ya kutengeneza nishati safi za kupikia nchini wameshauriwa wanapokuwa kwenye mchakato wa kutengeneza nishati hizo kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ili kupata viwango vya kutengeneza nishati hizo. Wito huo ulitolewa na Afisa Viwango wa TBS, Mhandisi Mohamed Kaila, wakati akizungumza na wadau mbalimbali katika kongamano…

Read More

Mwenge yaizima Junguni, Mwembe Makumbi ikibanwa ZPL

Maafande wa Zimamoto wameiwekea ngumu Mwembe Makumbi kwa kutoka sare ya 3-3, huku Mwenge ikiizima Junguni United katika mfululizo wa mechi za  Ligi Kuu Zanzibar. Mwembe Makumbi ambao ndio vinara wa ZPL ilibanwa kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Matokeo hayo yameifanya timu iliyopanda daraja msimu huu, ikifikisha pointi 46 kupitia mechi 24, ikiwa…

Read More

Sara, binti aliyepata mimba shuleni anavyofukuzia ndoto ya udaktari

Dar es Salaam. Tangu utotoni ndoto yake ilikuwa kuwa daktari, kadiri alivyokua shauku ya kuikaribia taaluma hiyo iliongezeka. Aliamini njia pekee ya kufanikisha ndoto hiyo ni kuongeza juhudi kwenye masomo, jambo alilotekeleza hadi pale alipoanza kusumbuliwa na maradhi. Mwaka 2022 akiwa kidato cha pili afya ilizidi kutetereka, ikamlazimu kukatisha masomo ili kupata tiba. Aliporejea shuleni…

Read More

Asilimia 68 wanaovunjika mifupa hawafiki hospitalini

Dar es Salaam. Utafiti mpya umeonyesha wagonjwa wengi walio na majeraha ya mifupa katika maeneo ya vijijini sawa na asilimia 68 hawafiki hospitali kutibiwa, huku wataalamu wa mifupa wakishauri tafiti zaidi eneo hilo. Hali hiyo imetajwa kusababisha ulemavu wa muda mrefu na hata kukatwa viungo kwa baadhi ya wagonjwa, kupoteza uwezo wa kufanya kazi na…

Read More