Waliokwama China wasimulia hekaheka walizozipata

Dar es Salaam. Wafanyabiashara waliokwama China  na kufanikiwa kurejea nchini wameeleza hekaheka walizopitia katika kadhia hiyo. Mei 4,2025 Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Kariakoo Severine Mushi, alieleza kukwama kwa wafanyabiashara zaidi ya 70 nchini China. Hii ilikuwa ni  baada ya tiketi zao za kurudi Tanzania walizokatiwa na wakala iliyefahamika kwa jina la Jasmini kuonekana hazipo kwenye…

Read More

CCM Yawakaribisha Wanachadema na G55

•kutangaza kuhama kwa waliokua viongozi waandamizi ni uthibitisho mgogoro ndani ya Chadema MVOMERO: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinawakaribisha kujiunga na chama hicho John Mrema na wenzake kutoka katika kundi la G55 waliojiondoa katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla ameeleza hayo leo…

Read More

Hamahama ya vigogo Chadema yaibua maswali

Dar/Moshi. Kujivua uanachama kwa waliokuwa viongozi katika sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakati wa uongozi wa Freeman Mbowe, kumeibua maswali kuhusu uhai wa chama hicho kikuu cha upinzani. Viongozi watano waliokuwa katika sekretarieti hiyo ya Chadema wakiongozwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu (Bara), Benson Kigaila na Naibu Katibu Mkuu – Zanzibar, Salum…

Read More

HAKUNA KAZI MUHIMU DHIDI YA USALAMA – KAMANDA SENGA.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga amesisitiza ushirikiano katika suala usalama hasa kwa wakazi wa maeneo ya mgodini. Hayo amezungumza Mei 07, 2025 alipotembelea mgodi wa dhahabu wa ANGLO DE BEERS (T) LIMITED uliopo Kijiji cha Patamela Mkoani Songwe kwa lengo la kutathimini hali ya usalama na…

Read More

Simba yaitandika JKT, yachungulia ubingwa WPL

KATIKA kuhakikisha Simba Queens inakaa kileleni na kujiweka katika nafasi nzuri ya kuutetea ubingwa wa Ligi ya Wanawake imeitandika JKT Queens mabao 4-3. JKT ikiwa nyumbani imetandikwa mabao hayo na kushushwa kileleni ilipokuwa na pointi 37 na sasa Simba iko nafasi ya kwanza ikifikisha pointi 40. Mchezo wa kwanza zilipokutana timu hizo msimu huu Simba…

Read More

Wawili wafukuzwa Skauti kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha

Dar es Salaam. Chama cha Skauti Tanzania kimewafuta uanachama wakufunzi wake wawili, Faustine Magige na Festo Mazengo, kwa tuhuma za kukiuka katiba na sera za chama hicho, ikiwemo ubadhirifu wa fedha zinazohusiana na safari ya kimataifa ya watoto wa skauti. Taarifa hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Skauti Tanzania, Rashid Mchatta, leo Jumatano, Mei…

Read More