IAA CHAWAPA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI WAFUNGWA

  ILI kuwapa ujuzi utakaowasaidia kuongeza kipato  na kujikwamua kiuchumi Chuo cha  Uhasibu Arusha (IAA) kwa kushirikiana na Jeshi la Magereza nchini kimezindua programu ya mafunzo ya ujasiriamali na Stadi za Biashara kwa wafungwa nchini.  Akifungua programu hiyo leo Mei 06, 2025 katika gereza kuu Arusha, Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza CGP Jeremiah Katungu…

Read More

Mdhamini jela miezi sita kwa kumtorosha mshtakiwa, atakiwa kulipa Sh5 milioni

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha miezi sita jela na kulipa bondi ya Sh5 milioni mdhamini Erick Mwasongwe, baada ya kushindwa kuhakikisha mshtakiwa aliyemdhamini anafika mahakamani kila tarehe ya kesi hiyo inapopangwa. Mwasongwe, aliyemdhamini Khalid Haji anayekabiliwa na shtaka la kujipatia fedha kwa udanganyifu na kujifanya ofisa usalama, amepewa adhabu…

Read More

Hatari zilizopo wanaozaa pacha zaidi ya watatu

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameeleza hatari zilizopo kutunza watoto waliozaliwa pacha zaidi ya wawili, na changamoto wanazokutana nazo tangu kugawanyika kwa yai tumboni mwa mama, wakati na baada ya kuzaliwa. Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na mgawanyo wa chakula na damu wawapo tumboni, kuzaliwa kabla ya wakati, uzito mdogo, changamoto za mfumo…

Read More

Serikali kugeukia teknolojia kuharakisha matumizi nishati safi ya kupikia

Arusha. Serikali imeanza kuangalia teknolojia mbalimbali zinazoweza kupunguza gharama za matumizi ya nishati safi ya kupikia, ili kuharakisha utekelezaji na kufanikisha lengo la kuhakikisha asilimia 80 ya wananchi wanatumia nishati hiyo ifikapo mwaka 2034. Kupitia Mkakati wa Kitaifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia wa kipindi cha miaka 10 (2024–2034), takwimu za sasa zinaonyesha…

Read More

KONA YA MALOTO: Muda wa kuyatazama matukio haya ya utekaji kwa jicho la sayansi kali

Kabla ya Novemba 2016, Tanzania haikuwa na historia endelevu ya utekaji na upotevu wa raia. Yalikuwepo matukio machache, na matumaini ya wananchi yalikuwa kwa polisi. Ghafla, mwaka 2016 ukielekea ukingoni, hali ilibadilika. Tukio lilikuwa moja, yakafuata mengine. Miaka tisa baadaye, inakuwa mazoea, watu kupotea au kuuawa, kisha taifa linasahau. Ni miaka minane na miezi sita…

Read More