UDSM yapiga mkwara, BDL kupingwa viwanja viwili

JOTO la ufunguzi wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) kati ya UDSM Outsiders na JKT linazidi kupanda kutokana na kumbukumbu ya ushindani uliotokea katika fainali ya mashindano hayo mwaka jana. Katika fainali hiyo JKT iliifumua UDSM katika michezo 3-1 ambapo katika mchezo wa kwanza JKT ilishinda pointi 67-62, ule pili UDSM…

Read More

Kushuka kwa ‘kutisha’ katika maendeleo ya wanadamu

Kwa miongo kadhaa, viashiria vya maendeleo ya binadamu vilionyesha kasi, zaidi ya watafiti na watafiti wa UN walitabiri kwamba ifikapo 2030, kiwango cha juu cha maendeleo kitafurahishwa na idadi ya watu ulimwenguni. Matumaini hayo yameondolewa katika miaka ya hivi karibuni kufuatia kipindi cha machafuko ya kipekee kama vile COVID 19 Ugonjwa – na maendeleo yamesimama…

Read More

CPA SULUO APONGEZA MAONO YA RAIS DKT. SAMIA KUPITIA FALSAFA YA 4R

:::::::: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), CPA Habibu Suluo, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa uongozi wake thabiti unaoongozwa na falsafa ya 4R (Reconciliation, Resilience, Reforms, Rebuilding), akisema kuwa maono hayo yamechangia kwa kiasi kikubwa katika kuimarika kwa taasisi hiyo. Akizungumza katika semina…

Read More

Hivi ndivyo atakavyopatikana Papa mpya

Vatican. Makardinali kesho, Jumatano, Mei 7, 2025, wanaanza mkutano wa kumchagua Papa mpya baada ya kifo cha Papa Francis kilichotokea Aprili 21, akiwa katika makazi yake kwenye nyumba ya Mtakatifu Marta. Msemaji mkuu wa Ofisi ya Waandishi wa Habari ya Vatican, Dk Matteo Bruni, aliwaeleza wanahabari Jumatatu, Mei 5, kwamba makardinali wote 133 ambao ni…

Read More

Mambo 10 ACT Wazalendo ikitimiza miaka 11

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimetaja maeneo 10 inayojivunia nayo kinaposherekea miaka 11 tangu kuanzishwa kwake huku kikisisitiza Serikali kutopuuza dai la  Watanzania la uhitaji wa haki. Mbali na dai hilo, baadhi ya maeneo ambayo ACT Wazalendo imetaja kama mafanikio yake kwa miaka 11 ni kuongoza katika siasa za hoja, kujenga jukwaa mbadala…

Read More

DC Kasulu awataka madiwani kudhibiti uhamiaji haramu

Kasulu. Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu, ametoa wito kwa madiwani wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma, kuwachukulia hatua wale wote wanaohusika kuwahifadhi raia wa kigeni wanaoingia nchini bila kufuata taratibu za kisheria. Amesema vitendo hivyo vimechangia kuongezeka kwa matukio ya kihalifu, hususan katika baadhi ya vijiji na kata za halmashauri hiyo,…

Read More

Kesi ya uhaini ya Lissu yapigwa kalenda

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelekeza upande wa mashitaka kukamilisha haraka upelelezi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Pia imeelekeza tarehe ijayo, upande wa mashitaka uje uieleze Mahakama hiyo upelelezi wa kesi hiyo umefikia hatua gani. Lissu anakabiliwa na shitaka moja la uhaini,…

Read More

Kesi ya uhaini ya Lissu yapigwa kalenda hadi Mei 19

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelekeza upande wa mashitaka kukamilisha haraka upelelezi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Pia imeelekeza tarehe ijayo, upande wa mashitaka uje uieleze Mahakama hiyo upelelezi wa kesi hiyo umefikia hatua gani. Lissu anakabiliwa na shitaka moja la uhaini,…

Read More

MBUNGE KIGUA ATAKA LAMI BARABARA INAYOUNGANISHA MIKOA MITANO

Na Janeth Raphael MichuziTv – Bungeni Dodoma MBUNGE wa Kilindi Omary Kigua (CCM) ameiomba Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi kusimamia ujenzi wa barabara ya Handeni-Kibrash -Singida kwani ni muhimu kiuchumi na inaunganisha mikoa mitano. Akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi kwa Wizara ya ujenzi kwa mwaka wa fedha 2025-2026 bungeni,Kigua amesema yale ni…

Read More