Wafanyabiashara wanaotumia Bandari ya Karema hii inawahusu

Dodoma. Mbunge wa Momba (CCM), Condester Sichalwe ameibana Serikali akitaka kujua ni lini itaanza ujenzi wa barabara Moba hadi Lubumbashi (DRC) ambayo amesema ni muhimu na tegemeo la wafanyabiashara. Sichalwe leo Jumanne Mei 6, 2025 amehoji akitaka kujua mkakati gani unafanyika kwa makusudi ili kuondoa usumbufu ambao umekuwa ukiwapata wafanyabiashara wanapopitia Zambia, akisema imekuwa ni…

Read More

New King yatanguliza mguu mmoja ZPL 

SHIRIKISHO la Soka Zanzibar(ZFF) limeanza kusaka timu nne zitakazopanda daraja  kucheza Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu ujao, ili kichukua nafasi ya zile zitakazoshuka katika Ligi hiyo ya juu ngazi ya klabu visiwani humu. Hatua ya mtoano wa Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja imeanza jana Jumatatu kwenye Uwanja wa Mao A, kwa kuzikutanisha  Sebleni…

Read More

JKU yaishusha daraja New City kutoka ZPL

NEW City imekuwa timu ya tatu kuaga rasmi Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada kuchezea kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Maafande ya JKU katika mechi iliyopigwa jana Jumatatu usiku. Mechi hiyo iliyopigwa kuanzia saa 1:50 usiku ilichezwa kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja na ilihitimisha rasmi safari ya New City inayoungana na Inter Zanzibar…

Read More

Fei Toto aiwahi Dodoma Jiji

AZAM FC inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi tatu za kumalizia msimu wa Ligi Kuu, lakini taarifa njema ni kwamba kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Feisal Salum ‘Fei Toto’ aliyekosekana katika mechi tatu zilizopita kutokana na kuwa majeruhi amerejea uwanjani na kuiwahi Dodoma Jiji. Azam imesalia mechi tatu dhidi ya Dodoma jiji iliyopangwa kupigwa Mei…

Read More

Pacome, Maxi washtua Yanga | Mwanaspoti

ACHANA na stori inayotrendi kwa sasa juu ya Yanga kugomea kucheza mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya watani zao, Simba, ikisisitiza tena kwamba haina mpango wa kucheza mechi hiyo hata kama itapangwa na Bodi ya Ligi, lakini kuna mambo mbalimbali yanayohusiana na mastaa wa timu hiyo. Tayari Yanga imeshakata tiketi ya kucheza Ligi ya…

Read More

Lissu, Jamhuri mshikemshike tena leo mahakamani

Dar es Salaam. Kesi mbili za jinai zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu (57), leo Jumane, Mei 6, 2025 tena zinatarajiwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Dar es Salaam inayoketi Kisutu, katika hatua tofautitofauti. Lissu anakabiliwa na kesi mbili tofauti za jinai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi…

Read More

Wakuu wa shule wanavyowabania waliojifungua kurejea shule

Dar es Salaam. Tangu mwaka 2022, Serikali ilipoanza utekelezaji wa mwongozo wa kuwarejesha shuleni wanafunzi, wakiwamo waliopata ujauzito, imeshuhudiwa mabadiliko hasa katika maeneo ya haki ya elimu kwa wasichana. Mwongozo huu uliotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Februari, 2022 unakusudia kutoa fursa ya pili kwa wanafunzi waliokatishwa masomo kutokana na sababu mbalimbali kuendelea…

Read More