RC Mbeya aingilia kati sakata la Mdude, viongozi wa kimila…

Mbeya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera amesema tayari amelielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada za kuwatafuta wahusika waliomshambulia kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mdude Nyagali, huku akiahidi Sh5 milioni kwa atakayesaidia kumpata kada huyo alipo akiwa hai au amekufa. Hata hivyo, amesema pamoja na yeye kutojua tukio hilo, kwakuwa limetokea…

Read More

WAKULIMA WAIOMBA SERIKALI KUWEKA MITAALA YA KUFUNDISHA KILIMO IKOLOJIA KUANZIA ELIMU YA MSINGI

……………….. Na Ester Maile, Dodoma  Kamati  ya Kudumu ya Bunge   ya Viwanda,Biashara,Kilimo,Mifugo na Uvuvi imeombwa na wakulima wa Mikoa ya Singida na  Dodoma  kuishauri  Serikali kuweka mitaala ya kufundishia kuanzia elimu ya Msingi hadi Chuo Kikuu katika mazao ya Kahawa,Parachichi,Pamba,Viungo na Kokoa. Wakulima wametoa kauli walipokutana na kamati hiyo bungeni Jijini kupitia Mpango mkakati wa…

Read More

Makalla ziarani Morogoro, asisitiza amani na utulivu

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ameanza ziara ya siku saba mkoani Morogoro yenye lengo la kuimarisha chama hicho tawala kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Katika ziara hiyo, Makalla ambaye ni mbunge wa zamani wa Mvomero mkoani humo, atatembelea wilaya za Morogoro Mjini, Malinyi,…

Read More

Meridianbet Yazindua “Gates of Olimpia” – Sloti Mpya ya Kipekee Kutoka Expanse Studios

  MERIDIANBET inayo furaha kubwa kutangaza uzinduzi wa mchezo mpya wa slot unaochukua wachezaji katika safari ya kimungu isiyosahaulika. “Gates of Olimpia”, kazi mpya ya kipekee kutoka kwa Expanse Studios, sasa inapatikana kwa wateja wa Meridianbet pekee. Ikiwa katika dunia ya hadithi za Kigiriki, Gates of Olimpia huleta uhalisia wa miungu wa kale kupitia picha za kuvutia,…

Read More

MICHAEL LUCAS WERUMA: MFANYAKAZI BORA WA BARRICK BULYANHULU

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt .Samia Suluhu Hassan akimkabidhi zawadi na cheti Mfanyakazi bora wa mwaka 2025 wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu Michael Lucas Weruma kwenye sherehe za Mei Mosi zilizofanyika mjini SingidaMfanyakazi bora wa mwaka 2025 wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu Michael Lucas Weruma akionyesha cheti alichotunukiwa na TUCTA wakati wa…

Read More