Nauli ya mwendokasi Mbagala, Kariakoo hii hapa

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku sita kuanza kwa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka ‘mwendokasi’ barabara ya Mbagala, huenda nauli ya safari moja ikawa Sh1,000. Taarifa ya kuanza kwa huduma ya usafiri huo Mbagala ilitolewa wiki iliyopita na Mkurugenzi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia alipozungumza na The Citizen….

Read More

Bidhaa bandia zinavyotafuna uchumi wa Tanzania

Dar es Salaam. Biashara ya bidhaa bandia inaendelea kuathiri uchumi wa Tanzania, huku takwimu zikionesha Serikali inapoteza zaidi ya Sh1.7 trilioni kila mwaka kutokana na ukwepaji wa kodi ya bidhaa kwenye sekta za pombe na sigara. Tatizo hilo limekithiri zaidi katika maeneo ya mipakani kama Kigoma, Songwe, Katavi, Mbeya, Musoma mkoani Mara na Kagera, pamoja…

Read More

Wafugaji 34,484 kunufaika na chanjo ya mifugo Handeni

Handeni. Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Salum Nyamwese amewataka wafugaji wilayani humo kujitokeza kuchanja mifugo ili kudhibiti magonjwa ya kideri, sotoka na homa ya mapafu ambayo ndio yanayosumbua zaidi mifugo. ‎Akizungumza wakati wa mwendelezo wa kuzindua kampeni ya chanzo ya mifugo kwenye kata mbalimbali za wilaya hiyo leo Jumatatu Agosti 25, 2025 amesema…

Read More

Dar kinara wanafunzi wanaohama shule za msingi nchini

Dar es Salaam. Mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Tabora na Geita imetajwa kuwa kinara nchini kwa wazazi kuhamisha watoto wao wanaosoma shule za msingi kwenda maeneo mengine nchini. Jambo hilo linatajwa kuchangiwa na kuhama kwa wazazi wao kikazi, kutafuta sehemu ambazo watoto wanaweza kupata elimu bora na usalama wa wanafunzi. Ripoti ya Best Education…

Read More

Daktari ambaye hakuweza kuacha Goma – maswala ya ulimwengu

Moto wa bunduki ulirarua giza. Usiku baada ya usiku, daktari wa miaka 44 kutoka Guinea alishikilia kwa matumaini kwamba mji uliozingirwa ungeshikilia kwa njia fulani. Halafu, asubuhi moja mwishoni mwa Januari, simu ilikuja: Yeye na wafanyikazi wa kimataifa waliobaki walipaswa kuhamishwa mara moja. “Tulichukua ndege ya mwisho,” alikumbuka. Masaa baadaye, Goma alikuwa mikononi mwa M23….

Read More

Nani Kuibuka Kidedea EPL? – Global Publishers

Katika kuendelea kuhakikisha kuwa Meridianbet haikuachi hivi hivi, Jumatatu ya leo wameamua kukupatia ODDS za kibabe kwenye mechi zote za leo. Nani kuondoka na ushindi leo?. Tandika jamvi lako na ushinde sasa. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea Athletic Bilbao atamenyana vikali dhidi ya Rayo Vallecano ambao mechi iliyopita walishinda, huku mwenyeji wao akishinda pia. Hivyo…

Read More

Nauli mwendokasi Mbagala huenda ikawa ‘buku’

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku sita kuanza kwa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka ‘mwendokasi’ barabara ya Mbagala, huenda nauli ya safari moja ikawa Sh1,000. Taarifa ya kuanza kwa huduma ya usafiri huo Mbagala ilitolewa wiki iliyopita na Mkurugenzi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia alipozungumza na The Citizen….

Read More

Bado Watatu – 8 | Mwanaspoti

Nikakaa kwenye kiti na kumuuliza. “Kuna taarifa yoyote ambayo mmeshaipata kuhusiana na mtu aliyefanya yale mauaji?” “Bado hatujapata taarifa yoyote, tunawasikiliza ninyi polisi.” “Kwa upande wetu tumemgundua muuaji….” “Ni mtu anayeitwa Thomas Christopher. Sijui kama unamfahamu mtu huyo” “Thomas Christopher?” “Ndiyo Thomas Christopher.” Alphonce akatikisa kichwa. “Naamini kwamba ni mmoja wa marafiki wa marehemu na…

Read More