Bi. Roberta Feruzi, Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano kwa Umma akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea banda la (FCC) kuhusu kununua bidhaa sahihi
Year: 2025

SIKU moja baada ya kuwaaga mashabiki wa Yanga baada ya kumaliza mkataba, mshambuliaji Kennedy Musonda amejiunga na Hapoel Ramat Gan inayoshiriki Ligi Daraja la Pili

Unguja. Wananchi Mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba Serikali kufanya operesheni za mara kwa mara katika maeneo yanayotajwa kushamiri kwa vitendo vya wizi wa mazao, mifugo

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Kampuni ya SICPA Tanzania, inaendelea kuelimisha umma kuhusu nafasi ya teknolojia katika kulinda walaji, kuimarisha ulipaji wa

Serikali ya Urusi imeanza uchunguzi kutokana na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi wa Urusi, Roman Starovoit ambaye amekutwa amefariki dunia karibu na gari lake

Handeni, Tanga Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetoa mafunzo kwa wajumbe wa kamati za kushughulikia malalamiko kupitia mradi wa RISE kutoka ngazi

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MKURUGENZI wa Masoko kutoka Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB), Frank Nyarusi, amesema kuwa zao la kahawa ni miongoni mwa mazao

Vladimirovich Starovoit, aliyekuwa Waziri wa Usafirishaji wa Urusi kati ya mwaka 2024 na 2025 Vladimirovich Starovoit, aliyekuwa Waziri wa Usafirishaji wa Urusi

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, Alhamisi ya Julai 17, 2025 katika Ukumbi wa

Na Hamis Dambaya, DSM. Matangazo ya moja kwa moja kutokea hifadhi ya Ngorongoro yanayorushwa katika Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii ndani ya viwanja