Pointi 15 zamliza Omary Madenge

KITENDO cha Biashara United kupokwa pointi 15 na Bodi ya Ligi Kuu (TPLB), kimemliza kocha wa kikosi hicho, Omary Madenge na kukiri ingekuwa ni miujiza kubakia Ligi ya Championship msimu ujao, licha ya juhudi kubwa zilizofanyika. Kikosi hicho kilichoshuka daraja msimu wa 2021-2022, kilikatwa pointi hizo kutokana na kushindwa kufika katika mchezo dhidi ya Mbeya…

Read More

Kauli ya RC Kitwana yazua mjadala

Unguja. Siku chache baada ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana kuwataka watendaji wa Serikali waliopo chini yake kuwasilisha kadi zao za mpigakura azikague, wadau wa uchaguzi wamesema hatua hiyo ni kuingilia majukumu ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC). Pia, wamesema inalenga kutoa vitisho na kuwapa hofu watumishi wa umma na kuwaelekeza nini…

Read More

Mkwawa Rally mtihani wa kwanza kwa Birdi

BINGWA wa mbio za magari mwaka 2024, Manveer Birdi anatarajiwa kuanza kwenye mashindano ya ufunguzi wa msimu ya Mkwawa Rally of Iringa, yanayotarajiwa kuchezwa mwezi Mei, mwaka huu, mkoani Iringa. Birdi alidhihirisha ubora wake katika mashindano ya raundi mbili ya rally Sprint, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa kuibuka bingwa na sasa anakabiliwa na mtihani…

Read More

Talaka ni janga, dawa ni hii

Tunajua fika kwa uzoefu wetu na hata kwa utafiti, kuwa hakuna binadamu wala mwanandoa anayependa wala kushabikia talaka, hata kama baadhi ya dini na sheria vimeiridhia kutokea ikilazimu. Hivyo, katika kipengele hiki tutajadili talaka na madhara yake, hasa kwa wanandoa, familia, na jamii hata nchi kwa ujumla. Kwa vile siyo kila kitu kinaweza kutafsiriwa au…

Read More

Wanakimanumanu waitana Mkwakwani | Mwanaspoti

WAKATI African Sports ikiwa katika presha ya kushuka daraja, viongozi na benchi la ufundi wamewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi katika mechi ya mwisho na Transit Camp, itakayopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga, Mei 10. Ukiachana na Biashara United iliyoshuka daraja baada ya sare ya bao 1-1, dhidi ya Geita Gold, kwa sasa ni timu…

Read More

Kisinda ampa wakati mgumu Waziri JR Iraq

WAKATI Simon Msuva akiendelea kukiwasha Ligi Kuu ya Iraq akiwa na Al Talaba, Mtanzania mwenzake, Wazir Jr Shentembo anayekipiga Al Mina’a mambo yanaonekana ni magumu tangu alipojiunga na chama hilo. Msuva ambaye amefunga mabao 12 kwenye ligi hiyo maarufu ‘Iraq Stars League’ amekuwa akipata nafasi ya kuanza kwenye kikosi hicho mara kwa mara wakati Wazir…

Read More