Serikali yaja na mwarobaini kuporomoka majengo

Dodoma. Wizara ya Ujenzi imewasilisha bajeti yake kwa mwaka 2025/26 huku ikisema kutokana na kuporomoka kwa jengo la ghorofa nne Kariakoo jijini Dar es Salaam inatunga sheria ya majengo kwa ajili ya kusimamia sekta ndogo ya majengo nchini. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameyasema hayo leo Jumatatu Mei 5, 2025 wakati akiwasilisha makadirio ya mapato…

Read More

Mastaa hawa kuamua dabi | Mwanaspoti

ZIMESALIA siku mbili kabla ya kushuhudia mtanange wa Dabi ya Dar es Salaam kati ya JKT Queens na Simba Queens kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo jumatano hii. Timu zote ziko nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa Ligi ya Wanawake unaotetewa na Simba. JKT iko kileleni na pointi 38 tofauti ya pointi moja na Simba…

Read More

Ngorongoro ina dakika 90 za uamuzi AFCON-U20

BAADA ya timu ya taifa ya vijana, Ngorongoro Heroes kupoteza mechi mbili za awali za Kundi A katika vita ya kuwania ubingwa wa Afrika (AFCON-U20), kwa sasa timu hiuo ina dakika 90 za kufufua tumaini la kuvuka hatua hiyo kwenda hatua inayofuata kusaka tiketi ya fainali za Kombe la Dunia 2025. Ngorongoro imesaliwa na mechi…

Read More