’Uchawa’ bomu linalosubiri kulipuka | Mwananchi

Dar es Salaam. Ingawa vijana wamegeukia ‘uchawa’ kama njia ya kipato, wadau wametahadharisha tabia hiyo wakisema ni hatari kwa ufanisi wa viongozi, thamani ya elimu na hata uchumi wa Taifa. Kwa mujibu wa wadau hao, kwa hali ilivyofikia jamii itaamini uchawa ndio njia ya kipato na hivyo watu wataacha kijibidiisha katika kazi, badala yake watawekeza…

Read More

John Noble avunja ukimya ishu ya Fountain Gate

KIPA wa Fountain Gate raia wa Nigeria, John Noble amevunja ukimya akithibitisha ni kweli kwa sasa ameondoka ndani ya kikosi hicho kwa ajili ya kwenda kupumzika kwa wiki kadhaa, ingawa atarejea ili kujua hatima yake kama ataendelea kusalia au atavunja rasmi mkataba wake. Hatua ya kipa huyo kuondoka kikosini imejiri baada ya makosa mawili aliyofanya…

Read More

Fountain Princess yasaka tatu Mashujaa

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate Princess, Camil Mirambo amesema wanahitaji kupata pointi tatu kwenye mechi ya leo dhidi ya Mashujaa Queens ili kuitafuta nafasi ya nne. Timu hiyo iko nafasi ya nane kwenye msimamo na katika mechi 14, imeshinda nne, sare mbili na kupoteza nane ikikusanya pointi 14. Ikipata ushindi kwenye mchezo huo, itasogea hadi…

Read More