Azam FC yashtukia kitu kwa Nizar

WAKATI ikielezwa kuwa, Yanga iko katika mazungumzo na nyota wa JKU, Abubakar Nizar Othman, mabosi wa Azam FC wameweka wazi nyota huyo ni mali yao na hauzwi, hivyo wanaomtaka wasahau kuhusiana na hilo na mwishoni wa msimu huu watamrudisha. Ipo Hivi. Mara baada ya mechi ya fainali ya Kombe la Muungano, iliyopigwa kwenye Uwanja wa…

Read More

Mawaziri watatu kubanwa | Mwananchi

Dodoma. Mawaziri watatu wataingia katika mjadala wa wabunge kuhusu bajeti za wizara zao kwa mwaka 2025/26 huku hoja kubwa zikitarajiwa kujitokeza zikiwa ni madeni ya makandarasi kwenye miradi ya barabara na utekelezaji wa ahadi za viongozi. Wizara zitakazokutana na kiu ya wananchi kutaka majibu ya changamoto mbalimbali zinazowakabili ni ya Ujenzi inayoongozwa na Abdallah Ulega,…

Read More

Pointi 15 zamliza Omary Madenge

KITENDO cha Biashara United kupokwa pointi 15 na Bodi ya Ligi Kuu (TPLB), kimemliza kocha wa kikosi hicho, Omary Madenge na kukiri ingekuwa ni miujiza kubakia Ligi ya Championship msimu ujao, licha ya juhudi kubwa zilizofanyika. Kikosi hicho kilichoshuka daraja msimu wa 2021-2022, kilikatwa pointi hizo kutokana na kushindwa kufika katika mchezo dhidi ya Mbeya…

Read More

Kauli ya RC Kitwana yazua mjadala

Unguja. Siku chache baada ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana kuwataka watendaji wa Serikali waliopo chini yake kuwasilisha kadi zao za mpigakura azikague, wadau wa uchaguzi wamesema hatua hiyo ni kuingilia majukumu ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC). Pia, wamesema inalenga kutoa vitisho na kuwapa hofu watumishi wa umma na kuwaelekeza nini…

Read More

Mkwawa Rally mtihani wa kwanza kwa Birdi

BINGWA wa mbio za magari mwaka 2024, Manveer Birdi anatarajiwa kuanza kwenye mashindano ya ufunguzi wa msimu ya Mkwawa Rally of Iringa, yanayotarajiwa kuchezwa mwezi Mei, mwaka huu, mkoani Iringa. Birdi alidhihirisha ubora wake katika mashindano ya raundi mbili ya rally Sprint, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa kuibuka bingwa na sasa anakabiliwa na mtihani…

Read More

Talaka ni janga, dawa ni hii

Tunajua fika kwa uzoefu wetu na hata kwa utafiti, kuwa hakuna binadamu wala mwanandoa anayependa wala kushabikia talaka, hata kama baadhi ya dini na sheria vimeiridhia kutokea ikilazimu. Hivyo, katika kipengele hiki tutajadili talaka na madhara yake, hasa kwa wanandoa, familia, na jamii hata nchi kwa ujumla. Kwa vile siyo kila kitu kinaweza kutafsiriwa au…

Read More