Kisinda ampa wakati mgumu Waziri JR Iraq
WAKATI Simon Msuva akiendelea kukiwasha Ligi Kuu ya Iraq akiwa na Al Talaba, Mtanzania mwenzake, Wazir Jr Shentembo anayekipiga Al Mina’a mambo yanaonekana ni magumu tangu alipojiunga na chama hilo. Msuva ambaye amefunga mabao 12 kwenye ligi hiyo maarufu ‘Iraq Stars League’ amekuwa akipata nafasi ya kuanza kwenye kikosi hicho mara kwa mara wakati Wazir…