DKT. BITEKO AIPONGEZA ETDCO KWA KUTEKELEZA MRADI WA KUSAFIRISHA UMEME TABORA–URAMBO
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, ameipongeza Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) chini ya uongozi wa Kaimu Meneja Mkuu wa kampuni hiyo CPA. Sadock Mugendi kwa kutekeleza kwa ufanisi mradi wa ujenzi wa laini ya kusafirisha umeme ya kilovolti 132 kutoka…