Zimamoto, Uhamiaji zashindwa kutambiana | Mwanaspoti

LIGI Kuu ya Zanzibar, imerejea tena jioni ya leo Ijumaa, ikishuhudiwa timu za Zimamoto na Uhamiaji zikishindwa kutambiana kwa kutoka sare ya 1-1 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Mao Zedong, mjini Unguja.  Mechi hiyo ilikuwa ni ya raundi ya 23 baada ya kusimama kupisha michuano ya Kombe la Muungano, ambapo Zimamoto ilitolewa nisu…

Read More

Mradi wa Sh44 bilioni wazinduliwa Tabora

Tabora. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, ameagiza Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) kutoa kipaumbele kwa Wilaya ya Urambo katika mpango wa vijiji 28,000 vitakavyopatiwa umeme. Ametoa agizo hilo leo Ijumaa, Mei 2, 2025, wakati wa uzinduzi wa kituo cha kupokea, kupooza na kusambaza umeme cha Uhuru, msongo wa kilovoti 132,…

Read More

Mchengerwa ahitimisha sakata ujenzi jengo la utawala Arusha

Arusha. Baada ya kuwapo tuhuma za ubadhirifu kuhusu ujenzi wa jengo la utawala la Halmashauri ya Jiji la Arusha, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema yuko jijini humo kuhitimisha minong’ono, maneno yaliyowavuruga na kuwachanganya, hivyo kuvuruga ujenzi. Mbali ya hayo, amemweleza Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Arusha, Thomas…

Read More

Wananchi wanahitaji umeme na sio maneno – Mhandisi Malibe

Shirika la umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa Ruvuma, limewataka wafanyakazi wa Shirika hilo kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya umeme nyakati zote kwani hitaji lao ni umeme na nasio maneno. Hayo yameelezwa na Kaimu Meneja wa TANESCO Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Boniface Malibe, wakati wa hafla iliyoandaliwa na Afisa Rasilimaliwatu wa Shirika hilo ya kuwapongeza wafanyakazi…

Read More

IAA yabeba ubingwa, yapanda First League

Timu ya Soka ya Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA SC) imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Mikoa RCL 2025 baada ya kuifunga Misitu ya Tanga kwa penalti 4-2 katika mchezo wa fainali baada ya dakika 120 kumalizika kwa sare ya 2-2. IAA sasa imeongeza idadi za timu za Arusha  katika mashindano makubwa ambayo yanasimamiwa na…

Read More

BILIONI 23 KUBORESHA MIUNDO MBINU KATIKA HIFADHI ZA TAIFA

Na Anangisye Mwateba-Bungeni Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) imetenga fedha kiasi cha Shilingi bilioni 23.18 kwa ajili ya matengenezo ya barabara zenye urefu wa kilomita 2,381.7 na vivuko 69 katika hifadhi za Taifa. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dunstan Kitandula alipokuwa anajibu swali…

Read More

Simba chupuchupu, mwamuzi awa gumzo KMC Complex

SIMBA imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mashujaa katika mechi iliyojaa matukio ya utata ikiwamo refa Kefa Kayombo kutoka Mbeya kuweka rekodi ya kuongeza dakika 15 ikiwa ni muda mrefu katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku Wekundu hao wakisaliwa na dakika 90 kukata tiketi ya CAF. Simba ilipata ushindi huo kwenye Uwanja wa…

Read More