Mastaa wanne wapishana Yanga | Mwanaspoti

KITAKWIMU ni rasmi kuwa, Yanga imeshafuzu Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao ikiwa imesaliwa na mechi nne mkononi. Hiyo imewapa kiburi cha kuanza harakati za kufumua kikosi na kupanga hesabu mpya tayari kwa michuano hiyo mikubwa inayotabiriwa kuwa na presha kubwa kwao msimu ujao. Mwanaspoti linajua, mastaa wanne wakiwamo viungo wawili Salum Abubakar ‘Sure Boy’…

Read More

Simba v Mashujaa dakika 90 zenye majibu matatu

ZIMEPITA takribani siku 182 tangu mara ya mwisho Steven Mukwala afunge bao kwa kichwa katika dakika ya 90+7 kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma wakati Simba ikiichapa Mashujaa 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Hiyo ilikuwa Ijumaa ya Novemba Mosi, 2024. Ijumaa ya leo, timu hizo zinakutana tena katika msako mwingine wa pointi…

Read More

Yanga mabingwa Kombe la Muungano 2025

TIMU ya Yanga imetwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKU katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Mei Mosi, 2025 kwenye Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba Maxi Nzengeli ndiye aliyefunga bao pekee lililoipa Yanga ushindi huo dakika ya 45 akimalizia pasi ya Farid Mussa. Kwa kutwaa ubingwa…

Read More

BEGASHE MFANYAKAZI HODARI MALIASILI 2024/2025

 ……………. Na Yusufu Kayanda Afisa Uhusiano Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Sixmund Begashe, amesema heshima kubwa aliyoipata ya kutangazwa kuwa Mtumishi Hodari wa Wizara ya Maliasili na Utalii ni heshima kwa wanahabari wote nchini, pamoja na watumishi wote wa wizara hiyo kutokana na ushirikiano mzuri waliouonesha katika kuufahamisha umma kuhusu matokeo chanya…

Read More

Sababu dawa kukosekana hospitalini hii hapa

Tabora. Mkurugenzi wa Ugavi na Uendeshaji wa Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Tabora, Peter Sungusia ametaja sababu za kukosekana kwa baadhi ya dawa katika vituo vya kutolea huduma. Akizungumza na watumishi wa vituo vya kutolea huduma za afya leo Alhamis mjini Tabora leo Mei Mosi, 2025, Sungusia amesema sababu kubwa ni kushindwa kufanya maoteo…

Read More

Askofu Shoo: Waliomshambulia Dk Kitima hawaitakii mema nchi

Moshi. Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amelaani kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Dk Charles Kitima akisema ni tukio baya. “Tukio la kushambuliwa kwa Dk Kitima linashtusha, linasikitisha na linapaswa kukemewa kwa nguvu zote na Watanzania. Yeyote aliyetenda unyama…

Read More