WATUMISHI WA TCAA WASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI

 Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wameungana na wafanyakazi wengine duniani kushiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), ambayo kwa mwaka huu yameadhimishwa kitaifa katika Mkoa wa Singida, yakiongozwa na Mgeni Rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Maadhimisho hayo yamebeba kauli mbiu…

Read More

SERIKALI YAAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYAKAZI KWA VITENDO – MEI MOSI YAADHIMISHWA KWA SHANGWE ARUSHA

Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yamefanyika kwa hamasa kubwa katika jiji la Arusha huku serikali ikiahidi kushughulikia kwa vitendo changamoto zote zilizowasilishwa na wafanyakazi kupitia vyama vyao. Katika hotuba iliyosomwa kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mhe. Joseph Mkude, aliwahakikishia wafanyakazi kuwa…

Read More

RC KUNENGE: UONGOZI WA RAIS SAMIA NI SOMO KWA WATUMISHI WOTE

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuwa kielelezo cha uongozi bora kwa vitendo, akionyesha njia ya utendaji kazi wenye weledi, jambo ambalo linapaswa kuigwa na watumishi wengine wa umma. Akizungumza katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi), Kunenge alisema , Rais…

Read More

JOWUTA MWANACHAMA RASMI TUCTA

                ::::::: Rais Samia ashuhudia,  Atangaza nyongeza mshahara serikalini Mwandishi Wetu, Singida CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA), leo kimetangazwa rasmi kuwa mwanachama wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA). Aidha, Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza neema kwa wafanyakazi wa serikali kwamba kuanzia Julai…

Read More

GIZ YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 975 KATIKA HALMASHAURI ZA MKO WA TANGA

Na Oscar Assenga, TANGA SERIKALI ya Ujerumani kupitia shirika la ufadhili wa kimataifa nchini humo (GIZ) limetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi Milion 975 vitakavyotumika katika hospitali 20 zilizopo kwenye hamashauri mbalimbali Mkoani Tanga hii ikiwa ni utekelezaji wa programu yake ya kusaidia na kuimarisha sekta ya afya hapa nchini. GIZ ambayo…

Read More

Ilichosema TEC kushambuliwa kwa Padri Kitima

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetaka hatua za haraka kuwabaini na kuwakamata wote waliohusika na shambulizi dhidi ya Katibu Mkuu wa baraza hilo, Padri Charles Kitima. Baraza hilo limesema hadi sasa linapata ushirikiano kutoka kwa Serikali na vyombo vya usalama. TEC imekuja na wito huo, siku moja baada ya taarifa ya…

Read More