Nyota Tabora United amzimia Mpanzu

BEKI wa zamani wa Polisi Tanzania na Yanga anayekipiga kwa sasa Tabora United, Yassin Mustafa amemtaja Elie Mpanzu, ndiye winga hatari zaidi katika Ligi Kuu Bara na ni Luis Miquissone mpya wa kikosi cha Simba. Mpanzu alijiunga na Simba dirisha dogo la usajili na tayari ameanza kuonyesha ubora katika kikosi hicho akiingia moja kwa moja…

Read More

Amuua mwanaye wakigombea koti | Mwananchi

Rombo. Mzee mwenye umri wa miaka 82, mkazi wa kijiji cha Kilema, kata ya Olele, wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kumuua na kumzika mwanaye, Oscar Msamanga (42), kufuatia ugomvi uliodaiwa kuzuka baada ya Msamanga kuvaa koti la baba yake bila idhini. Tukio hilo la kusikitisha lilifichuka Aprili 29, 2025, baada ya mzee huyo kutoa kauli…

Read More

Wadau: Wanaohamishwa waandaliwe mazingira mazuri

Unguja. Wakati Zanzibar ikithibitisha kuanza rasmi kutumika kwa Mfumo wa Taarifa wa Kukabiliana na Maafa (ZDMIS), wadau mbalimbali wamependekeza utumike kama suluhisho la kuwasaidia wananchi kwa kutoa njia bora za kujikinga na maafa kabla hayajatokea. Pia kuhakikisha waathirika wanawekewa mazingira bora ya kuishi. Mapendekezo hayo yametolewa leo Alhamisi Mei Mosi, 2025 katika kikao cha kuthibitisha…

Read More

RC CHALAMILA AONGOZA MAADHIMISHO YA MEI-MOSI DAR ES SALAAM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameongoza maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani Mei Mosi Mkoani humo na kuwataka wafanyakazi kufanya kazi kwa umahiri na uadilifu huku wakiamini kuwa Serikali inawapenda na inaendelea kushughulikia changamoto zao RC Chalamila akizungumza Jijini Dar es salaam leo katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Mei…

Read More

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YANOGESHA MEI MOSI 2025

.………. Na Sixmund Begashe – Singida Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii Leo tarehe 1 Mei 2025, wameungana na wafanyakazi wote Duniani kwenye Maadhimisho Siku ya wafanyakazi Duniani MEI MOSI ambayo kitaifa yamefanyika mkoani Singida huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa Mgeni rasmi. Maadhimisho hayo yalipambwa…

Read More

Majaliwa: Wafanyakazi hawana deni na Rais

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema wafanyakazi wanafurahishwa na maboresho wanayofanyiwa na Serikali ya awamu ya sita. Ameyasema hayo leo Alhamisi Mei 1, 2025 wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ‘Mei Mosi’ yanayofanyikia kitaifa mkoani Singida ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Sherehe hiyo ina…

Read More