Chadema yamvua uanachama Mrema, mwenywe ajibu
Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), tawi la Bonyokwa likitangaza kumvua uanachama John Mrema, kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo ukaidi, mwenyewe amekana kufukuzwa uanachama. Tuhuma zingine anazodaiwa Mrema aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa chama hicho, sababu nyingine zilizotajwa ni pamoja na dharau dhidi ya mamlaka, kutoheshimu…