MWANZA MBIONI KUZALISHA VYANZO VIPYA VIKUBWA VYA KODI
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Saidi Mtanda amsema kutokana na miradi mikubwa ya kimkati inayoendelea mkoani humo anatajia vyanzo vipya vya kodi vitazaliwa na kuifanya mwanza kuwa na mchango mkubwa zaidi katika uchumi wa Taifa. Mtanda, amesema hayo leo Aprili 30, 2025 alipokutana na ujumbe wa Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ukiongozwa na…