ENVAITA YAJA NA SULUHISHO LA KADI ZA MIALIKO

::::::: Na Aziza Masoud,Dar es Salaam  JAMII imetakiwa kubadilika na kuacha kutumia njia za kizamani zakualika   watu  katika matukio mbalimbali  badala yake watumie njia zakidigitali ili kuokoa muda na kupunguza usumbufu. Akizungumza jana Meneja wa Mawasiliano wa Envaita Praygod Mushi alisema utumiaji wa mialiko ya kadi kwa njia ya kidigitali unaokoa mambo mengi japokuwa watu …

Read More

Kesi moja kati ya nne za ukeketaji wa kike sasa zinazofanywa na wafanyikazi wa afya – maswala ya ulimwengu

Wakati sekta ya afya ulimwenguni kote inachukua jukumu muhimu katika kuzuia mazoezi ya unyanyasaji ya FGM na kusaidia waathirika, katika mikoa kadhaa, ushahidi unaonyesha vingine. Mnamo 2020, wastani wa wasichana na wanawake milioni 52 waliwekwa kwa FGM mikononi mwa wafanyikazi wa afya – hiyo ni karibu mmoja katika kesi nne. “Wafanyikazi wa afya lazima wawe…

Read More

Minziro: Tuna dakika 360 ngumu

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fred Minziro amesema hatma ya timu hiyo ipo mikononi mwa mechi nne ambazo ni sawa na dakika 360 za kufungia msimu ili kujihakikishia kubaki Ligi Kuu Bara msimu ujao na ameshazungumza na wachezaji kuweza kupanga mikakati ya kibabe. Pamba imerejea Ligi Kuu msimu huu ikiwa ni zaidi ya miaka 23…

Read More

Straika Fountain atamani bao moja tu!

MAISHA hayana usawa, kwani wakati washambuliaji wa timu nyingine za Ligi Kuu Bara hususan waliopo Simba, Yanga, Azam na Singida BS wakipigia hesabu kiatu cha mfungaji bora wa msimu, hali ni tofauti kwa Hashim Omary wa Fountain Gate anayetamani angalau afunge bao moja tu. Mshambuliaji huyo chipukizi, amesema kwa vile wameshindwa kufunga bao katika mechi…

Read More

Yanga kutesti tena Kombe la Muungano

KIKOSI cha Yanga usiku wa leo kitarudi tena kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba kuvaana na Zimamoto katika mechi ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Muungano, ikilenga zaidi kuboresha rekodi ilizonazo kwa michuano hiyo iliyorejeshwa kuanzia mwaka jana baada ya kusimama tangu 2003. Nusu fainali hiyo ya pili baada ya ile iliyopigwa jana ikizikutanisha…

Read More

Ngorongoro Heroes yaanza msako wa Afcon U20

TIMU ya taifa ya Tanzania ya vijana wa chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes kesho Jumatano itaanza kampeni za kusaka ubingwa kucheza fainali za Kombe ka Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Afrika Kusini ikiwa Kundi A. Fainali za AFCON U20 zinaendelea kufanyika Misri ikishirikisha timu za nchi 13 zilizopangwa katika makundi matatu, na zimeanza…

Read More

SERIKALI ITAFANYIA KAZI HARAKA MAAZIMIO YA KONGAMANO LA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI- MSIGWA.

Wadau na Waandishi wa Habari wakifuatilia uwasilishaji wa mada na majadiliano katika siku ya kwanza ya Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari lililofanyika leo tarehe 28 Aprili, 2025 jijini Arusha. Na Mwandishi Wetu. Serikali imesema itahakikisha inafanyia kazi mapendekezo yote yatakayotolewa kwenye maazimio ya pamoja ya Waandishi wa Habari baada…

Read More

Mafanikio Simba CAFCC yaivuruga Bodi ya Ligi, TFF

SIMBA kimerejea nchini jana kutoka Afrika Kusini ilikoenda kurudiana na Stellenbosch na kufuzu fainali za Kombe la Shirikisho Afrika, lakini kitendo cha Wekundu hao kutinga hatua hiyo kimeleta majanga  baada ya mabosi wa Bodi ya Ligi kujifungia ili kuipangua ratiba tena. Simba ilitoka suluhu na Stellenbosch katika mechi hiyo ya juzi, lakini ushindi wa bao…

Read More