WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AONGOZA VIONGOZI MBALIMBALI KUTEMBELEA BANDA ATCL MAONESHO YA ACI AFRICA

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Peter Ulanga wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 73 wa Baraza la Kimataifa la Viwanja vya Ndege (ACI Africa) unaofanyika jijini Arusha. Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius W. Kahyarara akimsikiliza Rais wa ACI  Africa…

Read More

Mgogoro wa haki za binadamu za Mexico-maswala ya ulimwengu

Mikopo: Raquel Cunha/Reuters kupitia picha za Gallo Maoni na ines m pousadela (Montevideo, Uruguay) Jumatatu, Aprili 28, 2025 Huduma ya waandishi wa habari MONTEVIDEO, Uruguay, Aprili 28 (IPS) – Walipata viatu, mamia yao, wakatawanyika kwenye sakafu ya uchafu ya kambi ya kuangamiza katika Jimbo la Jalisco. Viatu hivi vilivyoachwa, ambavyo vilikuwa vya mtoto wa mtu,…

Read More

MAPEPELE AHAMISHIWA TAMISEMI NA HOSEA MALIASILI

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Nteghenjwa Osea amekabidhiwa rasmi ofisi na aliekuwa Mkuu wa Kitengo hicho Bw. John Mapepele ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI, ili kuendelea kuwatumiaka wananchi kwenye ofisi yake…

Read More