Lusajo: Safari hii, hatutawaangusha | Mwanaspoti

NAHODHA wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda amesema wanajua wana kazi kubwa ya kufanya msimu huu kuhakikisha wanafikia malengo, huku akimtaja kocha Florent Ibenge ni wa viwango na hawapaswi kumuangusha. Mwaikenda aliyemaliza msimu uliopita na mabao saba na asisti tatu, aliliambia Mwanaspoti, wachezaji wapo tayari kwa ushindani na kila mmoja anajua kazi kubwa iliyopo mbele yao….

Read More

Mafuriko ya watu mahakamani Mpina akipigania haki yake

Dodoma. Idadi ya watu waliofika mahakamani leo kusikiliza kesi ya mgombea urais wa Chama cha ACT –Wazalendo, Luhaga Mpina imeongezeka ukilinganisha na siku zingine. Watu wengi waliofika mahakamani leo wamevalia nguo zinazotumiwa na chama hicho kama sare yao ingawa wengi wanaonekana kuwa na nguo za kawaida na wote wameruhusiwa kuingia katika ukumbi wa Mahakama Kuu…

Read More

Majaliwa: Sera ya Taifa ya Ufuatiliaji na Tathmini ikamilishwe haraka

Mwanza. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeweka mkakati wa kuhakikisha shughuli zote za ufuatiliaji na tathmini zinaimarishwa, huku akizitaka taasisi husika kukamilisha maandalizi ya Sera ya Taifa ya Ufuatiliaji na Tathmini ili kuwezesha kutungwa kwa sheria itakayosimamia utekelezaji wake. Akifungua Kongamano la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza (MEL) leo Alhamisi Septemba 11, 2025…

Read More

Waarabu wafichua kilichozuia dili la Mukwala

STEVEN Mukwala ni mmoja ya nyota 30 wa kikosi kipya cha Simba kwa msimu wa 2025-2026, licha ya awali kuelezwa alikuwa tayari yupo hatua ya mwisho kupigwa bei Uarabuni kabla ya dili hilo kufa kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili la Tanzania usiku wa Septemba 7. Hata hivyo, vigogo wa klabu hiyo ya Uarabuni…

Read More

Aliyedai kuombwa kumuua Mpina aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Shinyanga imefuta hukumu ya kifungo cha miezi sita jela alichohukumiwa Pendo Elikana, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kutoa taarifa za uongo kuwa aliombwa amuue Luhaga Mpina. Mpina amekuwa mbunge wa Kisesa kwa vipindi vitatu (2005–2020) kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na aliwahi kuhudumu kama Waziri wa…

Read More

Ajali yaua sita Rorya | Mwananchi

Rorya. Watu sita wamefariki dunia papo hapo na mmoja kujeruhiwa baada ya gari walikokuwa wakisafiria kugonga kwa nyuma gari lililokuwa limeegeshwa barabarani baada ya kuharibika. Ajali hiyo imetokea katika Kijiji cha Buganjo wilayani Rorya wakati gari aina ya Toyota Succeed likiwa limebeba watu saba likiwa linatoka mjini Tarime kuelekea Kijiji cha Busurwa wilayani Rorya, liligonga…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA ATAJA YALIYOFANYIKA UYUI AKIOMBA KURA KWA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tabora MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha  Mapinduzi(CCM) Dk.Samia Suluhu Hassan amehutubia maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora huku akitumia nafasi hiyo kuelezea mipango ya Serikali katika miaka mitano ijayo. Akizungumza leo Septemba 11,2025 katika mkutano uliofanyika katika Kata ya Ilolanghulu wilayani Uyui mkoani Tabora, Dk.Samia Suluhu Hassan amesema wananchi…

Read More