BoT yapigia chapuo matumizi kazi za mikopo

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imesema kuna fursa ya kuendeleza matumizi ya bidhaa za kadi za mikopo, hivyo imehimiza benki nchini kuwekeza zaidi katika ubunifu na elimu kwa wateja. Aidha, BoT imeipongeza Benki ya Absa Tanzania kwa kuzindua (Absa Infinite Card), kadi ya kifahari inayolenga kuwahudumia wateja wa hadhi ya juu kwa…

Read More

Stumai, Shikangwa jino kwa jino kiatu Ligi Kuu

ACHANA na vita ya upachikaji mabao kwa nyota Jentrix Shikangwa wa Simba Queens na Stumai Abdallah (JKT Queens), kingine ni wanalingana kwa mabao ya ugenini. Stumai ndiye kinara wa ufungaji akiweka kambani mabao 26 nyuma yake yupo Shikangwa mwenye 19 katika mechi 14 walizocheza. Washambuliaji hao wanalingana kwa kufunga mechi za ugenini kila mmoja akiweka…

Read More

Kocha JKT ataka rekodi mpya Isamuhyo

LICHA ya Simba kutinga fainali Kombe la Shirikisho Afrika baada ya miaka 32 tangu ilipofanya hivyo kwa kucheza fainali ya Kombe la CAF 1993, lakini hilo wala halijamtisha Kocha Mkuu wa JKT Tanzania, Hamad Ally aliyetamba mechi dhidi ya mnyama anataka rekodi mpya ikiwa nyumbani. JKT itaipokea Simba ikiwa ndio kwanza imetoka kuing’oa Stellenbosch ya…

Read More

SHINDA SIMU MPYA ZA KISASA NA MERIDIANBET!

MERIDIANBET inazidi kuwapa wateja wake burudani ya kipekee! Sasa unayo nafasi ya kipekee ya kuondoka na moja kati ya Samsung A25 mpya kabisa (5x) kupitia promosheni ya kusisimua: Jisajili, Weka Amana, Cheza na Ushinde! Ni rahisi kushiriki: 👉 Jisajili kwenye Meridianbet. 👉 Weka amana kwenye akaunti yako. 👉 Cheza Kasino au kubashiri Michezo yoyote. Kila…

Read More

ELIMU YA GESI ASILIA KWENYE MAGARI YAWAVUTIA WENGI MAONESHO YA WIKI YA USALAMA MAHALA PA KAZI, SINGIDA.

Katika kuadhimisha Wiki ya Usalama Mahala pa Kazi, kampuni ya GASCO imeendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya matumizi salama na nafuu ya gesi asilia, hasa kwenye vyombo vya moto.  Katika banda la GASCO, wananchi walijitokeza kwa wingi kujifunza zaidi kuhusu teknolojia ya kutumia Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) kama mbadala wa mafuta ya petroli na…

Read More

Hatima usikilizwaji kesi ya Lissu kujulikana Mei 6

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Mei 6, 2025 kutoa uamuzi iwapo kesi ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa YouTube inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, iwapo itaendeshwa kwa njia ya mtandao au mshtakiwa huyo ataletwa mahakamani hapo. Uamuzi huo umetolewa leo, Jumatatu Aprili 28,…

Read More