Airtel Spam Alert-Kataa Matapeli, Kuongeza Usalama wa Wateja dhidi ya Matapeli wa Simu
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, akizindua huduma huduma maalum ya kutoa taarifa kuhusu utapeli kupitia teknolojia ya Akili Mnemba, uzinduzi huo umefanyika jijini Dar Es Salaam leo Aprili 28, 2025. Baadhi ya wadau mbalimbali wa mawasiliano waliohudhuria uzinduzi wa huduma huduma maalum ya kutoa taarifa kuhusu utapeli kupitia teknolojia ya Akili…