Wahitimu wetu wana mawazo mbadala?

Katika nchi yetu jitihada za kuboresha mfumo wa elimu zinaendelea na wengi wetu tunatoa maoni yetu kwa njia mbalimbali. Ni sahihi kwamba tumeanza kufanya mabadiliko kiasi fulani na hii ni hatua nzuri. Leo nataka kufanya tafakuri kuhusu uwezo wa wahitimu wetu kutambua na kuheshimu mawazo tofauti ya watu wengine.  Je, wahitimu wetu wanathamini mawazo mbadala?…

Read More

Dk Nchimbi kuzuru wilaya tano mkoani Mara

Bunda. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi anatarajia kuanza ziara ya siku sita mkoani Mara, ikiwa ni mwendelezo wa ziara za viongozi wa chama hicho kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya 2020/25. Katika ziara hiyo, Dk Nchimbi na baadhi ya wanasiasa ndani ya chama hicho, watatembelea wilaya zote tano za…

Read More

Yanga yashinda ikiweka rekodi rekodi tatu

MABINGWA watetezi, Yanga wameendelea kunyatia ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Fountain Gate, katika mchezo uliopigwa Jumatatu hii kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara huku ushindi huo uliofanya Yanga kufikisha pointi 70, umeweka rekodi tatu ndani ya kikosi hicho. Rekodi ya kwanza inamuhusu…

Read More

ULEGA ATOA SIKU 30 KWA MKANDARASI BARABARA YA NSALAGA

***** Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa siku 30 na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya CHICO anayetekeleza ujenzi wa upanuzi wa barabara ya Nsalaga – Ifisi (km 29) kwa njia nne, jijini Mbeya kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi huo ili uweze kukamilika na kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo. Aidha, Waziri Ulega amemuagiza Mkandarasi…

Read More

Haiti inakabiliwa na ‘hatua ya kurudi’ kama vurugu za genge zinaongeza machafuko – maswala ya ulimwengu

Mwakilishi Maalum María Isabel Salvador aliambiwa Mabalozi katika Baraza la Usalama Kwamba kampeni “ya makusudi na iliyoratibiwa” inaandaliwa na vikundi vya uhalifu vilivyoandaliwa kupanua udhibiti wa eneo na kupooza mji mkuu, Port-au-Prince. Mashambulio ya hivi karibuni ya genge yamelenga maeneo ambayo hayakuathiriwa kama Delmas na Pétion-Ville, wakati dhoruba ya mji wa Mirebalais iliashiria mapumziko ya…

Read More