Junguni United yafunga mjadala wa iliyowatimua
SIKU tatu tu tangu Junguni United iliyopo Ligi Kuu ya Zanzibar kutangaza kuwafukuza wachezaji saba kwa tuhuma za kubeti na wachezaji hao kujibu mapigo kupitia kampuni ya uwakili ilitaka waombwe radhi ndani ya siku 14 na kulipwa fidia ya Sh300 milioni, klabu hiyo imesema imefunga mjadala huo. Junguni inayoshika nafasi ya 12 katika msimamo wa…