KAMATI YA BUNGE YARIDHIKA NA MAENDELEO MRADI WA MEMBE

………….. -Yamuomba Rais Kuongeza Utoaji wa Fedha Miradi ya Umwagiliaji Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge, Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji mradi wa Bwawa la Umwagiliaji Membe. Bwawa hilo ambalo linajengwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), ujenzi wake umefikia asilimia 92 ya utekelezaji.  Wakizungumza leo Jumamosi Aprili 26,…

Read More

Mwisho wa safari ya Papa Francis, dunia yamzika

Vatican. Safari ya maisha ya duniani ya Papa Francis ilihitimishwa saa 7:30 mchana (saa 8:30 mchana saa za Afrika Mashariki na Kati) leo Aprili 26, 2025 baada ya mwili wake kuzikwa kwenye Kanisa kuu la Bikira Maria Mkuu, mjini Roma, Italia. Ibada ya mazishi ilianza saa 7:00 mchana (saa 8:00 mchana) ikiongozwa na Camerlengo, mbele…

Read More

JACKPOT CITY CASINO YAWAAHIDI WACHEZAJI USHINDI MKUBWA, RAHISI, NA WA HARAKA

Jackpot City Casino, moja ya chapa maarufu duniani za michezo ya kasino mtandaoni, sasa imezinduliwa rasmi Tanzania. Ikiwa na kauli mbiu ya Ushindi Mkubwa, Rahisi, Wa Haraka. Jackpot City inaleta uzoefu wa kipekee wa michezo ya kubahatisha kwa Watanzania, burudani inayokwenda sambamba na kuota na kutimiza ndoto kubwa.  Jambo kubwa linalofanya Jackpot City Casino iwe tofauti ni…

Read More

Maji yachelewesha uunganishaji wa barabara Malinyi

Malinyi. Hali imeendelea kuwa tete kutokana na kukatika kwa barabara ya Ifakara-Malinyi na wananchi wanaotegemea barabara hiyo wameanza kulalamikia kupanda kwa gharama za maisha. Hali hiyo imekuja kufuatia mvua kuharibu barabara hiyo na kukata mawasiliano baina ya pande hizo mbili, hivyo kuongeza gharama za usafiri. Leo ikiwa ni siku ya tano tangu barabara hiyo iharibike,…

Read More

Dk Biteko ahitimisha ziara Arusha akisisitiza amani

Arusha. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, katika ziara ya siku nne mkoani Arusha pamoja na mambo mengine, amesisitiza amani, akitaka wananchi kutokugawanywa kwa itikadi za dini wala za siasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2025. Dk Biteko aliwasili Arusha Aprili 22, 2025, ambako alikagua miradi ya maendeleo ikiwa ni katika kuelekea maadhimisho ya…

Read More