Nyerere aenziwa, wafungwa 4,887 wapata msamaha

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Rais Samia Suluhu Hassan, amezindua kitabu cha Safari ya Mwalimu Nyerere huku Serikali ikieleza ipo mbioni kuandaa vitabu vingine vya aina hiyo kumuhusu Amani Abeid Karume, ambaye ni Rais wa Kwanza wa Zanzibar. Mbali na hilo ametunuku nishani za Muungano kama ishara…

Read More

Mtibwa noma, yarejea Ligi Kuu baada ya siku 332

Sare ya bao 1-1, iliyoipata Mtibwa Sugar ugenini dhidi ya Bigman FC kwenye Uwanja wa Ilulu Lindi, imeifanya timu hiyo kurejea rasmi Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, huku ikiwa ya kwanza kukata tiketi hiyo, ikisaliwa na michezo miwili mkononi kuhitimisha msimu wa 2024-2025. Mtibwa iliyoshuka daraja msimu uliopita sambamba na Geita Gold, imepanda kufuatia…

Read More

Sakata la Makonda, Gambo lachukua sura mpya

Arusha. Sakata la madai ya ubadhirifu wa fedha lililoibuliwa na Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo (CCM), limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, kumtaka awaombe radhi aliodai amewafitini, kuwachonganisha na kuharibu maisha yao. Aprili 23, 2025, Gambo aliliomba radhi Bunge na kufuta maneno aliyotoa dhidi ya Waziri wa Nchi,…

Read More

Wafanyakazi watakiwa kupaza sauti Mei Mosi

Unguja. Ikiwa zimebaki siku nne kuadhimishwa siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar (Zatuc), limewataka kujitokeza kwa wingi ili kuwa na sauti ya pamoja wakati wakiwasilisha changamoto zao kwa mamlaka. Katibu mkuu wa shirikisho hilo, Khamis Mwinyi Moh’d ametoa kauli hiyo leo Aprili 26, 2025 alipozungumza na waandishi wa habari…

Read More

Maajabu ya Ahoua CAF, akifunga tu kuna jambo

MFUNGAJI wa bao pekee katika mchezo wa kwanza ulioipa Simba ushindi wa 1-0 dhidi ya Stellenbosch, Jean Charles Ahoua, ana maajabu yake kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu. Ahoua mwenye mabao matatu sawa na Kibu Denis katika michuano hiyo wakiwa vinara wa utupiaji kikosini hapo, maajabu yake ni kwamba akifunga Simba haipotezi…

Read More

Umoja wataja kuboresha mifumo ya chakula

Unguja. Ili kutekeleza mipango ya kuboresha mifumo ya chakula nchini, Serikali, sekta binafsi, mashirika ya kimataifa na wadau wengine wametakiwa kufanya kazi pamoja ili kuleta mabadiliko chanya tofauti na ilivyo sasa kila mmoja anafanya kazi kivyake. Hayo yamebainika leo Aprili 26, 2025 katika mkutano uliowaleta pamoja wadau wa mfumo wa chakula Zanzibar. Wamesema kila mmoja…

Read More