MUUNGANO WA TANZANIA UTALINDWA KWA NGUVU ZOTE

 ******* Na Mwandishi Maalum , Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Amani, Usalama na Utulivu wa Tanzania kwa miaka  61 , umetokana na misuli ya Ulinzi chini ya  Serikali ya Jamhuri  ya Muungano  Tanzania . Pia kimewataka Wananchi  kupuuza maadai ya   upinzani  yanayoelezwa kuwa Zanzibar itakawia kupata maendeleo   kwa kukosa  Mamlaka kamili. Matamshi  hayo yametamkwa…

Read More

ULINZI NA USALAMA WA MTOTO NI WAJIBU WETU SOTE.

Na Issa Mwadangala. Watoto walio wengi hufanyiwa vitendo vya ukatili na unyanyasaji na hivyo kupelekea kushindwa kufurahia utoto wao na kuwaletea madhara makubwa kimwili na kiakili. Hayo yalisemwa Aprili 26, 2025 na Afisa Mnadhimu wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Akama Shaaban akiwa ameambatana na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Eletisia Mtweve…

Read More

TAHADHARI ZA KIUSALAMA ZICHUKULIWE MIGODINI.

Na Issa Mwadangala. Wafanyakazi wa Kampuni ya madini ya Makaa ya Mawe WAADHUHA (EA) TRADING COMPANY LIMITED iliyopo Kata ya Magamba Wilaya ya Songwe wametakiwa kujali usalama wao pindi wawapo kazini ili kujiepusha na majanga yanayoweza kuepukika. Kauli hiyo imetolewa Aprili 25, 2025 na Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi…

Read More

Waombolezaji 250,000 waaga mwili wa Papa Francis

Vatican. Waombelezaji takribani 250,000 wameshiriki kuaga mwili wa Papa Francis katika Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican, shughuli iliyohitimishwa jana Ijumaa Aprili 25, 2025 kwa kufungwa jeneza lenye mwili wake. Taarifa ya mtandao wa Vatican News inasema ibada ya kufunga jeneza ilifanyika saa 2:00 usiku (saa 3:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na…

Read More

Mtibwa Sugar ina dk 90 za kihistoria

VINARA wa Ligi ya Championship, Mtibwa Sugar wana dakika 90 za kuamua hatma ya kurejea Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao kama watashinda mechi ya leo ugenini dhidi ya Bigman FC kwenye Uwanja wa Ilulu Lindi, kwani watafikisha pointi 69, ambazo hazitafikiwa na timu yoyote. Iko hivi. Mtibwa ina pointi 66, hivyo ikishinda leo itafikisha…

Read More

Kocha afichua jambo KenGold | Mwanaspoti

BAADA ya KenGold kushuka Ligi Kuu ikiwa na mechi tatu mkononi, kocha Omary Kapilima ametaja mambo mawili yaliyowaangusha, huku akisisitiza wanajipanga kurudi msimu ujao. KenGold imerudi Championship baada ya kupanda msimu huu na kushindwa kuonja nafasi nzuri katika msimamo, kwani tangu imepanda hadi inashuka ilikuwa nafasi ya mwisho. Akizungumza na Mwanaspoti, Kapilima alisema wameangushwa na…

Read More