Dk Nchimbi akerwa na kauli za chuki kwa upinzani

Dar es Salaam. Kauli na nyimbo mbaya kwa upinzani, za kibaguzi na matendo yenye taswira yanayoweza kutafsiriwa kuwa ni kushabikia ukandamizaji wa haki za wananchi zimeendelea kumkera Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi. Ikiwa ni kwa mara ya tatu, jana Dk Nchimbi akiwa Shirati wilayani Tarime akiendelea na ziara ya siku…

Read More

MUHAS YAADHIMISHA WIKI YA UBUNIFU

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu Idara inayohusu Sayansi na Teknolojia imetengeneza mwongozo wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika Taasisi zake za Elimu ya Juu ili iweze kuleta manufaa kwa watu wote. Imesema hakuna namna ya kusema kuzuia, badala yake wanatengeneza utaratibu wa kuhakikisha inatumika vizuri. Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Prof. Peter Msofe amesema…

Read More

Serikali Kutoa Bil. 18 Kujenga Madaraja Kukomesha Tatizo la kukatika kwa Mawasiliano Malinyi

Na FARIDA MANGUBE, MOROGORO Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Abdallah Ulega, ametembelea na kukagua barabara ya Malinyi mkoani Morogoro ambayo imeharibika kutokana na maji ya Mto Furuwa kuvunja kingo na kupita juu ya barabara, hali iliyosababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya kijiji cha Misegese na Malinyi mjini. Ziara hiyo ya siku moja imefanyika kufuatia malalamiko ya…

Read More

Mafuta ya Venezuela yalinaswa katika Shambulio la Kimbunga cha Trump – Maswala ya Ulimwenguni

Uchimbaji wa mafuta kwenye ukanda wa Orinoco, kusini mashariki mwa Venezuela. Kichafu kilichotolewa kutoka kwa bonde hili tajiri ni nzito sana na inahitaji kuchanganya na mafuta ya kusafisha – mchakato ulioshughulikiwa hapo awali na kampuni ya Amerika, ambayo lazima sasa iache shughuli nchini. Mikopo: PDVSA na Humberto Marquez (Caracas) Ijumaa, Aprili 25, 2025 Huduma ya…

Read More

Wataalamu wa usafiri kujadili fursa mpya za biashara, uchumi

Unguja. Watunga sera na wataalamu wa usafiri na usafirishaji kutoka mabara manne wanakutana Zanzibar katika Mkutano wa Kimataifa wa Shirikisho la Vyama vya Mawakala wa Ushuru na Forodha Afrika Mashariki na Kati (Fiata Rame) kujadili fursa na changamoto za sekta hiyo. Wataalamu wengine watakaoshiriki ni wa uwezeshaji biashara, mamlaka za udhibiti, mamlaka za bandari, wasafirishaji…

Read More