Biteko: Tudumishe Muungano | Mwananchi

Arumeru. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewataka wananchi kuendelea kudumisha na kuuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kudumisha mshikamano na amani kwa maslahi mapana ya Taifa ili kuendelea kutekeleza malengo ya waasisi wa Muungano. Dk Biteko ameyasema hayo leo ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake mkoani Arusha,…

Read More

Baba jela miaka 30 kwa kumpa ujauzito binti yake

Simiyu. Daud Mabele (38), mkazi wa Kijiji cha Kakola, Kata ya Shishiyu wilayani Maswa, mkoani Simiyu amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumuingilia kimwili na kumpa ujauzito binti yake wa kumzaa. Mabele pia ameamriwa kumlipa binti yake (14) fidia ya Sh200,000. Hukumu imetolewa jana Alhamisi Aprili 24, 2025…

Read More

SERIKALI KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA AFYA

………………… Dkt. Biteko atambelea Hospitali ya Wilaya ya Meru Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali imeahidi kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini katika ngazi zote ili kuboresha huduma za Afya kwa Watanzania. Hayo yamesemwa Aprili, 25, 2025 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akiwa…

Read More

Waliofukuzwa Junguni kwa tuhuma za kubeti, wageuza kibao 

Saa chache tangu uongozi wa timu ya Junguni United iliyopo Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) kutangaza kuwafukuza wachezaji saba kwa tuhuma za kujihusisha kubeti, wachezaji wameugeuzia kibao klabu hiyo wakitoa siku 14 kuombwa radhi na kulipwa fidia ya Sh300 milioni. Wachezaji hao wametoa msimamo huo kupitia taarifa ilitolewa na mawakili wanaowasimamia. Pia, taarifa hiyo imesema wateja…

Read More

DKT. MWINYI: BARABARA YA KIBADA

Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ally Mwinyi, ameweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Kibada – Mwasonga – Kimbiji yenye urefu wa kilometa 41, hatua muhimu inayolenga kukuza uchumi na kuimarisha miundombinu ya…

Read More

RC SENYAMULE AHIMIZA WAFANYABIASHARA KUSHIRIKI KONGAMANO LA USHIRIKA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule,,amewataka wafanya biashara kujitokeza kushiriki kongamano la kitaifa la wanaushirika,litakalolenga kujadili fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya kilimo na ushirika. Kongamano hilo limepangwa kufanyika Aprili 29 Mwaka huu katika ukumbi wa Jakaya Kikwete uliopo mkoani humo ,huku viongozi mbalimbali wakitarajia kushiriki katika kongamano…

Read More

Beki KMC ajiandaa kutua Al Hilal

BEKI wa KMC, Raheem Shomary akiwa katika harakati za kuipambania timu hiyo ishishuke daraja ikiwa imebakiza mechi nne mkononi huenda akawa sehemu ya kikosi kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Ipo hivi. Beki huyo ambaye aliibuka mchezaji bora msimu uliopita 2023/24 yupo katika hatua za mwisho kumalizana na Al Hilal ya Sudan. Chanzo cha…

Read More