Kilio chaanza kwa wauza tufaa, zabibu

Dar es Salaam. Marufuku iliyotolewa na Serikali kwa bidhaa za kilimo kutoka Afrika Kusini na Malawi, imewaathiri wafanyabiashara wa tufaa (apple) na zabibu jijini Dar es Salaam. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kupitia kituo cha luninga cha Azam, Aprili 23 mwaka huu  alitangaza kuanza utekelezaji wa zuio kwa bidhaa hizo baada ya Aprili 17 kupitia…

Read More

WAJUMBE WA CCM KURA ZA MAONI SIKILIZENI WANANCHI

****** Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema CCM itahakikisha inateua wagombea wazuri wanaokubalika kwa wapiga kura, akiwataka wajumbe wa vikao vya kura za maoni kusikiliza maoni ya wananchi wanapoenda kupiga kura. Halikadhalika, Balozi Nchimbi ametoa wito kwa Watanzania wote, hususan wenye sifa za kupiga kura, kuwapatia maoni yao…

Read More

INATIA HURUMA: Kada CCM aliyemwagiwa tindikali afanyiwa upasuaji wa macho

Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Kilimanjaro, Idrisa Moses maarufu ‘Makishe’ aliyemwagiwa kimiminika kinachodaiwa ni tindikali, amefanyiwa upasuaji wa macho yote mawili na moja limeonyesha dalili ya kuona vizuri. Akizungumza kwa simu na Mwananchi leo Alahamisi Aprili 24, 2025 kutoka hospitali alikolazwa na kufanyiwa upasuaji huo, kada huyo amesema madaktari bingwa wa…

Read More

Polisi yathibitisha kumuhoji Mwijaku, wanafunzi waliomshambulia mwenzao

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limethibitisha kuwahoji Mwemba Burton Mwemba, maarufu Mwijaku na wanafunzi wanne wanaidaiwa kushiriki katika tukio la kumshambulia na kumdhalilisha Magnificat Barnabas Kimario ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ardhi. Katika taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Aprili 24, 2025, polisi wameeleza kuwa  hadi sasa watu wanne  wamekamatwa na…

Read More