Mradi wa Chuma Liganga ulivyo pasua kichwa

Moshi. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ameonyesha masikitiko yake kutokana na kutoanza kwa mradi wa Chuma Liganga, licha ya fidia kubwa kulipwa kwa watu walioathirika na mradi huo. Wakati ripoti hiyo ya CAG ya mwaka wa fedha 2023/2024 ikieleza hayo, Februari 18, 2025, Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo…

Read More

Watu 12,000 wahofiwa kuugua ugonjwa wa himofilia nchini.

Alisema Mwaka 2020 Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikishirikiana na Taasisi ya himofilia ya novo nordisk ilianzisha mradi wa kuongeza kasi ya upatikanaji wa huduma kwa watu wenye magonjwa ya damu lengo kuu ikiwa ni kuunga mkono serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya afya katika kupunguza madhara ya vifo vinavyotokana na magonjwa yasiyo ambukiza ikiwemo…

Read More

Yao Kouassi atulizwa Yanga, kocha ahusika

YANGA ipo safarini kuifuata Fountain Gate kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara inayopigwa Jumatatu, huku taarifa mbaya kwa mashabiki ni kwamba huenda wasimuone tena uwanjani beki wa kulia, Yao Kouassi aliyejitonesha jeraha. Yao aliyekuwa nje ya uwanja kwa miezi mitatu kutokana na kuumia nyama za paja, alianza mazoezi na wenzake, lakini juzi kati alijitonesha na…

Read More

Tabora United yamtimua Mzimbabwe, yamleta Mzambia

Uongozi wa Tabora United jana usiku, Aprili 18, 2025 umetangaza kuachana na kocha Genesis Mangombe kutoka Zimbabwe kutokana na mwenendo usiovutia kwenye Ligi. Na jana hiyohiyo ikamtangaza Simonda Kaunda kutoka Zambia kuwa mrithi wa nafasi iliyoachwa na Mangombe. “Uongozi wa Timu ya Tabora United unapenda kumtambulisha SimondaKaunda raia wa Zambia kuwa kocha Mkuu kwa kipindi…

Read More