Gomez achekelea kombe la dunia

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco, Selemani Mwalimu ‘Gomez’ amesema licha ya kutokuwa na uhakika wa kucheza katika kikosi cha kwanza, lakini anafurahi kuwepo katika timu inayokwenda kushiriki michuano ya Klabu Bingwa ya Dunia. Michuano hiyo inatarajiwa kufanyika kati ya Juni 16 hadi Julai 13 nchini Marekani na Wydad…

Read More

IMF YAKUNWA NA UTEKELEZAJI MIPANGO YA TANZANIA YA KUKUZA UCHUMI NA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

 Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amelihakikishia Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwamba, Serikali itaendelea kufanya maboresho ya sera na mipango yake kwa kuhakikisha sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii pamoja na kuimarisha sekta binafsi zinapewa kipaumbele. Dkt. Nchemba amesema hayo wakati akifunga vikao vya…

Read More

CHADEMA WAMUULIZIA ALIPO LISSU

 Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelitaka Jeshi la Magereza, mamlaka husika pamoja na vyombo vya dola kutoa taarifa za haraka kuhusu mahali alikopelekwa Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. CHADEMA imetoa taarifa hiyo baada ya kudai kuwa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Wakili Ali Juma, mawakili, familia pamoja wanachama walifika katika gereza la Keko ambapo…

Read More

Faida sita Tanzania kushika kijiti WHO hizi hapa

Dar es Salaam. Miongoni mwa maswali yanayozunguka vichwa vya wengi ni kuhusu namna ambavyo Tanzania itanufaika, ikiwa Mtanzania atapata nafasi ya kuwa Mkurugenzi wa kanda ya Afrika, Shirika la Afya Duniani (WHO). Ili kukutegulia kitendawili hiki, Mwananchi imekusogezea faida sita (6) zitakazoinufaisha nchi, iwapo mgombea aliyeteuliwa na nchi (Profesa Mohammed Janabi) atafanikiwa kushinda kiti hicho….

Read More

Wasira: CCM haina namna ya kuwasaidia wabunge wazembe

Tabora. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitakuwa na namna ya kuwasaidia wabunge wake waliopewa nafasi ya kuwawakilisha wananchi, lakini wakashindwa kuitendea haki. Kimesema msimamo wake kwa sasa ni kupata wagombea wanaokubalika na wananchi, ndiyo maana kimebadili utaratibu wa kura za maoni na mchujo. Katika mchakato wa kura za maoni, chama hicho kwa sasa kimeongeza wajumbe…

Read More

ACT Wazalendo ilivyojipanga kuvuna wanachama wapya

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuwa kilianzishwa kama chombo mbadala kwa wanamageuzi, hivyo kipo tayari kumpokea mwanasiasa yeyote atakayetaka kujiunga nacho. Sio kuwapokea tu, kimesema hata watakaotaka kugombea, watapewa nafasi kama wanachama wengine na kupitia michakato ya kikatiba ndani ya chama hicho. Sambamba na hilo, ACT Wazalendo imeongeza muda kwa wanachama wake…

Read More