Wasira: CCM haina namna ya kuwasaidia wabunge wazembe

Tabora. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitakuwa na namna ya kuwasaidia wabunge wake waliopewa nafasi ya kuwawakilisha wananchi, lakini wakashindwa kuitendea haki. Kimesema msimamo wake kwa sasa ni kupata wagombea wanaokubalika na wananchi, ndiyo maana kimebadili utaratibu wa kura za maoni na mchujo. Katika mchakato wa kura za maoni, chama hicho kwa sasa kimeongeza wajumbe…

Read More

ACT Wazalendo ilivyojipanga kuvuna wanachama wapya

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuwa kilianzishwa kama chombo mbadala kwa wanamageuzi, hivyo kipo tayari kumpokea mwanasiasa yeyote atakayetaka kujiunga nacho. Sio kuwapokea tu, kimesema hata watakaotaka kugombea, watapewa nafasi kama wanachama wengine na kupitia michakato ya kikatiba ndani ya chama hicho. Sambamba na hilo, ACT Wazalendo imeongeza muda kwa wanachama wake…

Read More

Tuzo za umahiri sasa kutolewa Zanzibar

Unguja. Kwa mara ya kwanza Zanzibar imeandaa tuzo za umahiri katika mawasiliano ambazo zitashirikisha waandishi wa habari kutoka ndani na nje ya nchi. Tuzo hizo ambazo zimeandaliwa na Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar, Taasisi ya Uhusiano ya Umma Tanzania (IPRT) na Idara ya Habari Maelezo Zanzibar, zinatarajiwa kutolewa Julai 5 mwaka huu kisiwani humu….

Read More

RC atishia kufunga biashara kisa uchafu

Pemba. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Rashid Hadid Rashid amesema Serikali ya Mkoa huo itachukua hatua za kisheria dhidi ya wafanyabiashara watakaoshindwa kudumisha usafi katika maeneo yao ya kazi, ikiwemo kufungia biashara zao. Kauli hiyo ameitoa leo Ijumaa Aprili 18, 2025, wakati wa operesheni maalum ya usafi wa mazingira iliyofanyika katika maeneo mbalimbali ya…

Read More

Masheha, watendaji walaumiana uchimbaji holela mchanga, mawe

Unguja.  Wakati Wizara ya Maji, Madini na Maliasili Zanzibar ikidai masheha ndio wanawajibika kulinda mali zisizohamishika, wao wamesema baadhi ya watendaji wa wizara ndio wanaoshirikiana na watu wanaofanya uharibifu huo.  Kwa mujibu wa sheria ya mazingira ya mwaka 2015, utartibu wa kuchimba mchanga, mawe na kuvisafirisha vinatakiwa kuombewa kibali maalumu wizarani huku yakitengwa maeneo maalumu ya…

Read More

Haki, amani vyatawala ibada ya Ijumaa Kuu Arusha

Arusha. Amani ya Tanzania ili iendelee kudumu, viongozi wa Serikali wametakiwa kuongeza kiwango cha uvumilivu na kuepuka matumizi ya nguvu kupita kiasi kwa baadhi ya watu wenye mitazamo tofauti. Aidha, wametakiwa kutenda haki kwa watu wanaowaongoza, na pale wanapotofautiana kujenga tabia ya kutumia njia ya mazungumzo kwa ajili ya kumaliza tofauti zao. Wito huo umetolewa…

Read More

Ambundo ajichomoa Fountain Gate | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Fountain Gate, Dickson Ambundo amejiengua katika kikosi hicho kwa madai ya kutolipwa malimbikizo ya fedha zikiwamo za usajili zipatazo Sh50 milioni. Ambundo alijiunga na Fountain Gate mwanzoni mwa msimu huu akitokea Singida Black Stars na ameifungia timu hiyo mabao mawili kabla ya kuondoka kambini wakati timu ikipambana kumaliza katika nafasi nzuri katika…

Read More

Kocha Azam FC bado hajatupa taulo Bara

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema bado hajakata tamaa ya kupambana kumaliza ndani ya Nne Bora ya Ligi Kuu na kwa sasa anarejea tena katika vita ya ligi hiyo kwa kukabiliana na Kagera Sugar ugenini ili kujiweka pazuri. Azam itakuwa kwenye Uwanja wa Kaitaba, mjini Kagera kukabiliana na wenyeji, ikiwa imetoka kupoteza mechi…

Read More