Kombe la Muungano vita ya Bara, Visiwani

PAZIA la michuano ya Kombe la Muungano, linafunguliwa Alhamisi hii kwa mchezo mmoja wa robo fainali ambapo Singida Black Stars itaanza kampeni ya kusaka taji hilo dhidi ya JKU, saa 11:00 jioni. Singida ni kati ya timu nane zinazoshiriki mashindano hayo msimu huu, huku ikipata nafasi hiyo baada ya kikosi cha Simba kujitoa kutokana na…

Read More

CAG: Taasisi za umma zina mifumo ya Tehama yenye gharama kubwa

Dar es Salaam. Ripoti ya Ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere inaonyesha baadhi ya taasisi za umma nchini zinamiliki mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) iliyopatikana kwa gharama kubwa. Baada ya ukaguzi taasisi hizo zimekutwa zikimiliki mifumo hiyo kwa gharama zilizozidi wastani wa kawaida. Katika tathmini…

Read More

Yanga yapiga hodi CAF, mipango yaanza

KATI ya mashirikisho 54 ya soka Afrika ambayo yanapeleka timu zao kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika yanayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kila msimu, Tanzania tayari imepata mwakilishi wake mmoja, bado mwingine. Kwa mujibu wa CAF, mashirikisho yaliyopo kwenye orodha ya 12 bora kwa viwango, yanawakilishwa na klabu mbili kwenye Ligi ya Mabingwa. Kwa…

Read More

Ukatili wa kijinsia unaotumika kama silaha ya vita katika DR Kongo – maswala ya ulimwengu

Maafisa waandamizi wa UN walionya Jumatano Kwamba vyama vyote vinavyohusika katika mzozo huo vinatumia unyanyasaji wa kijinsia kama mbinu ya vita dhidi ya raia. Hali mbaya katika Mashariki Mashambulio ya kuongezeka kwa vikundi vya watu wasio na silaha katika DRC ya Mashariki yamesababisha kuongezeka kwa unyanyasaji wa kijinsia, kulenga wanawake na watoto. Waasi walioungwa mkono…

Read More

Wasira asifu mabadiliko makubwa eneo la utawala

Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeleta mageuzi makubwa katika eneo la utawala, huku akisisitiza kuwa mchakato wa mageuzi (‘reform’) ni endelevu na si wa muda mfupi. Akizungumza na wanachama wa CCM jana jioni, Aprili 23, 2025, akiwa katika Wilaya ya Chamwino…

Read More

Fadlu mkeka umetiki | Mwanaspoti

UNAWEZA kusema ni kama mkeka wa Fadlu Davids umetiki kwani ubora aliouonesha hadi sasa ndani ya Simba, umewafanya Wasauzi wenzake, Orlando Pirates kuanza hesabu za kumrudisha kikosini kwao. Fadlu ambaye alitambulishwa ndani ya Simba Julai 5, 2024 akitokea Raja Casablanca ya Morocco akiwa kocha msaidizi, alipewa mkataba wa miaka miwili kuliongoza benchi la ufundi la…

Read More

Meridian Bet Tanzania | Jinsi ya kujisajili | www.meridianbet.co.tz | Promo code: 1109

Meridian bet Tanzania nikampuni ya kubeti nchini tanzania  iliyosajiliwa kwa mujibu wa sheria. Katika kampuni hii unaweza kubeti au kucheza Casino Mtandaoni. Katika makala haya tutaeleza jinsi ya kujisajili Meridianbet, na Promo code ya meridian Bet ambayo ni [ 1109 ] Vile vile tutaeleza mengine kuhususiana na meridian Bet Tanzania  Jinsi ya Kujisajili Meridian Bet…

Read More