Uhaba wa Wanawake Katika Nafasi za Maamuzi Zanzibar changamoto inayohitaki kutatuliwa

Na Nihifadhi Abdulla Zanzibar LICHA  ya Zanzibar kuwa na idadi kubwa ya wanawake kwa asilimia 52 ya wakazi wake, wanawake bado ni wachache mno katika nafasi za maamuzi. Hali hii inasababisha maswali kuhusu utekelezaji halisi wa usawa wa kijinsia unaozungumzwa kila mara. Katika kuhakikisha Wanawake wanapata haki ya uongozi kwakuzingatia usawa wa kijinsia wanaharakati mbalimbali…

Read More

SERIKALI ITAENDELEA KULINDA MASLAHI YA WAKULIMA WA KAHAWA, AELEZA CHANGAMOTO ALIZOPITIA AKIWATETEA WAKULIMA.

***** *Bashungwa aagiza Jeshi la Polisi kushughulikia wizi wa kahawa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kusimamia sera nzuri na mifumo madhubuti ya usimamizi na uuzaji wa kahawa, kwa lengo la kuhakikisha wakulima wa zao hilo wanaendelea kunufaika kwa kupata bei nzuri na yenye tija. Kauli hiyo imetolewa…

Read More

Baada ya msoto, TLS Mwanza yapata viongozi wapya

Mwanza. Ikiwa imepita miezi minne tangu Mwananchi iripoti habari kuhusu baadhi ya wanachama wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Mkoa wa Mwanza kutishia kufanya maandamano hadi Ofisi ya Jaji Mfawidhi wa Mkoa wa Mwanza kama ombi lao la kuitishwa uchaguzi wa kujaza nafasi za viongozi waliojiuzulu halitazingatiwa, hatimaye uchaguzi huo umefanyika na viongozi wapya wamepatikana….

Read More

Wananchi Moshi walia mkandarasi kuelekeza maji katika makazi yao, wafunga barabara

Moshi. Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mabogini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia mkandarasi anayejenga barabara eneo la Spenconi kuelekeza mitaro ya maji katika maeneo yao hali inayosababisha mafuriko kwenye makazi yao. Hali hiyo imesababisha leo Alhamisi, Aprili 17, 2025 wananchi hao kuifunga barabara ya Spenconi- Fonga Gate- Mabogini- Kahe, kwa zaidi ya saa…

Read More

Heche: Watanzania tusipuuze siasa, azitaja Simba na Yanga

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amewataka Watanzania kutopuuza siasa, akisema ndio msingi utakaoboresha maisha yao. Msingi wa kueleza hayo, umetokana na kile alichodai baadhi ya Watanzania wamekuwa mstari wa mbele kujadili na kufuatilia masuala ya mipira hasa klabu za Simba na Yanga badala ya siasa….

Read More

Askofu Sangu: Tudumishe upendo katika familia zetu

Shinyanga. Askofu wa Jimbo Katoliki la Shinyanga, Liberatus Sangu ametoa wito kwa waumini kudumisha upendo ndani ya familia zao, akisisitiza kila mtu hutoka katika familia na malezi ya mtoto hutegemea watu wanaomzunguka. Kauli hiyo ameitoa leo Alhamisi Aprili 17, 2025, wakati wa Misa Takatifu ya Alhamisi Kuu iliyofanyika katika Parokia ya Buhangija, mkoani Shinyanga. Katika…

Read More

NYANZA WAANZISHA MKAKATI WA KUINUA ZAO LA KAHAWA BUCHOSA

Mwenyekiti wa Nyanza Bw. Leonard LyabalimaMeneja wa Nyanza Kanda ya Buchosa Bw. Kalunga Ibrahimu akitoa ufafanuzi kwa mzalishaji Miche ya KahawaMkulima Selemani Ndaki akielezea changamoto anazokutana nazo katika kilimo cha kahawa Na Tonny Alphonce – Mwanza Chama Kikuu cha Ushirika Nyanza kimeanza rasimi kuwekeza nguvu katika zao la Kahawa kwa lengo la kuongeza uzalishaji na…

Read More