Umuhimu watoto kupimwa kisukari mapema

Wazazi wengi huzingatia kuhakikisha watoto wao wanapata chanjo, hula vizuri, na kwenda shule.  Hata hivyo, kuna jambo moja ambalo mara nyingi hupuuzwa, navyo ni vipimo vya sukari katika damu.  Wengi hudhani kuwa kisukari ni ugonjwa wa watu wazima tu, lakini ukweli ni kwamba watoto pia wako katika hatari ya kupata ugonjwa huu, hasa aina ya…

Read More

Tahajudi inavyojenga afya ya mwili, akili na roho

Kwa wanaotembelea mahekalu, ni nadra kutooana baadhi ya watu wakiwa katika mikao maalum huku wakitafakari kwa kina. Si mchezo wala watu nao hawajifurahishi. Wapo kwenye zoezi la tahajudi maarufu Kiingereza kwa jina la ‘ meditation’. Ni zoezi ambalo sio tu hufanyika hekaluni, bali mahala kokote kwenye utulivu mkubwa, kwa kuwa lina uhusiano na ulimwengu wa…

Read More

Sokoine kuna vita ya maafande

UHONDO wa Ligi Kuu Bara umerejea tena baada ya kusimama kwa wiki moja ambapo viwanja viwili leo Ijumaa vitawaka moto, kazi kubwa ikiwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya wakati maafande wa Tanzania Prisons na JKT Tanzania watakapoonyeshana kazi, huku jijini Dar kuna dabi nyingine. Kwenye Uwanja wa KMC Complex, wenyeji KMC timu inayomilikiwa na…

Read More

Kocha Azam FC bado hajatupo taulo Bara

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema bado hajakata tamaa ya kupambana kumaliza ndani ya Nne Bora ya Ligi Kuu na kwa sasa anarejea tena katika vita ya ligi hiyo kwa kukabiliana na Kagera Sugar ugenini ili kujiweka pazuri. Azam itakuwa kwenye Uwanja wa Kaitaba, mjini Kagera kukabiliana na wenyeji, ikiwa imetoka kupoteza mechi…

Read More

Rekodi zaibeba Simba Amaan | Mwanaspoti

BAADA ya Simba kutanganza kuwa mechi yao dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini itachezwa kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar, wadau wa soka wameitaka kujiandaa vizuri ili kutumia vizuri uwanja huo kwa kupata mabao ya kutosha, huku dimba hilo haliwajawahi kuwapa matokeo mabaya. Wakati Simba itatumia uwanja huo kwa sababu ya Uwanja wa Benjamin Mkapa,…

Read More

Azimio la Universal la Haki za Binadamu kati ya viingilio vipya vya Kumbukumbu ya UNESCO ya Usajili wa Ulimwenguni – Maswala ya Ulimwenguni

Shirika la elimu, kisayansi na kitamaduni la UN (UNESCO) alitangaza maandishi ya hivi karibuni Kumbukumbu ya Usajili wa Ulimwengu Alhamisi. Iliyowasilishwa na nchi 72 na mashirika manne ya kimataifa, yanashughulikia mada kama vile Mapinduzi ya Sayansi, Mchango wa Wanawake kwa Historia na Milango kuu ya Multilateralism kama vile kuandaa kwa Azimio la Universal la Haki…

Read More

Stellenbosch yapata pigo, kocha akuna kichwa

KIKOSI cha Stellenbosch kilitarajiwa kutua nchini jana tayari kwa pambano la kwanza la nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Simba, huku ikipata pigo. Kocha huyo, amekiri kikosi chake kimeifuata Simba kwa ajili ya mchezo huo utakaopigwa Jumapili kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar bila ya mshambuliaji muhimu, Ashley Cupido aliyeumia…

Read More

Hamdi aja na mkakati wa siku 5 Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi amesema licha ya ugumu wa ratiba iliyonayo timu hiyo, lakini ametengeneza mkakati kabambe wa siku tano ili kuendelea kugawa dozi kama kawaida katika Ligi Kuu kabla ya kuhamishia makali visiwani Zanzibar katika mechi za michuano ya Kombe la Muungano 2025. Yanga inatarajia kusafiri hadi Manyara kukabiliana na Fountain Gate…

Read More