Makardinali wafanya mkutano wa kwanza Vatican

Vatican. Mkutano mkuu wa kwanza wa makardinali umeanza asubuhi ya leo Aprili 22, 2025 ikiwa ni siku moja baada ya kifo cha Papa Francis (88). Kwa mujibu wa mtandao wa Vatican News, mkutano huo ulidumu kwa saa moja na nusu, kuanzia saa 3:00 hadi saa 4:30 (saa za Ulaya). Imeelezwa waliokuwa katika mkutano huo uliofanyika…

Read More

Wabunge wang’aka ukosefu wa madawati shule za msingi

Dodoma. Upungufu wa madawati katika shule za msingi umezua mjadala bungeni baada ya wabunge kuibua vilio wakisema ni aibu Taifa kuendelea kuzungumza jambo hilo. Katika michango ya wabunge leo, Jumanne Aprili 22, 2025, baadhi yao wameitaka Serikali ifikirie upya mkakati wa kumaliza upungufu huo. Kilio cha upungufu wa madawati kilianza Aprili 17, 2025, siku ya…

Read More

MASHINDANO YA UNICHAMPIONS KUTIMUA VUMBI MWEZI MEI, 2025

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Mashindano ya Michezo kwa Vyuo Vikuu Msimu wa Pili kupitia Taasisi ya UNICHAMPIONS kwa kushirikina na CUC yanatarajiwa kufanyika kwa awamu ya pili ambapo yatajumuisha mpira wa miguu, mpira wa kikapu,mpira wa wavu na netboli. Akizungumza leo Aprili 22,2025 Jijini Dar es salaam wakati wa Uzinduzi wa mashindano hayo,Mwanzilishi wa…

Read More

Makardinali wamefanya mkutano wa kwanza Vatican

Vatican. Mkutano mkuu wa kwanza wa makardinali umeanza asubuhi ya leo Aprili 22, 2025 ikiwa ni siku moja baada ya kifo cha Papa Francis (88). Kwa mujibu wa mtandao wa Vatican News, mkutano huo ulidumu kwa saa moja na nusu, kuanzia saa 3:00 hadi saa 4:30 (saa za Ulaya). Imeelezwa waliokuwa katika mkutano huo uliofanyika…

Read More

Maneno ya mwisho ya Papa Francis

Vatican. “Asante kwa kunirudisha kwenye uwanja.” Ni miongoni mwa maneno ya mwisho ya Papa Francis aliyoyatoa kwa ambao katika wakati wa ugonjwa, lakini hata muda mrefu uliopita, walimwangalia bila kuchoka. Miongoni mwa hao ni Massimiliano Strappetti, muuguzi ambaye kama alivyowahi kusema Papa aliokoa maisha yake kwa kupendekeza afanyiwe upasuaji wa tumbo. Papa alimteua kuwa msaidizi…

Read More

Polisi yakana kumshikilia Heche, Chadema wamsaka

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, likisema halimshikilii Makamu mwenyekiti wa Chadema, John Heche, Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Aman Golugwa amesema bado wanamtafuta kiongozi huyo kujua ni kituo kipi cha Polisi anakoshikiliwa. Heche anadaiwa kukamatwa leo Jumanne Aprili 22, 2025 muda mfupi baada ya kuanza mkutano…

Read More

Uvamizi miundombinu ya mwendokasi mfupa mgumu

Dar es Salaam. Licha ya kuzuiwa kufanya biashara ndani ya miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (Udart), wafanyabiashara ndogondogo maarufu machinga wameendelea kuvamia vituo na njia za mabasi hayo, wakifanya shughuli zao kama hakuna agizo lililowahi kutolewa. Katika vituo vilivyopo Barabara za Morogoro, Mbagala na Gongo la Mboto, hali hiyo imekuwa ya kawaida, baadhi ya wafanyabiashara…

Read More

Mtumbwi wazama Kisiwa cha Rukuba, watatu wahofiwa kufa

Musoma. Watu watatu akiwemo Katekista wa Kanisa Katoliki Parokia Teule ya Rukuba iliyopo wilayani Musoma mkoani Mara, wanahofiwa kufariki dunia baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kwa ajili ya uvuvi kuzama Ziwa Victoria katika Kisiwa cha Rukuba. Akizungumza kwa njia ya simu leo Jumanne Aprili 22, 2025, Mwenyekiti wa Parokia hiyo, Jovin Mafuru amesema Katekista huyo…

Read More