Taasisi 78 hatarini kushambuliwa kimtandao

Dar/Arusha. Taasisi 78 za umma ziko hatarini kukumbana na mashambulizi ya kimtandao, kuhatarisha taarifa nyeti pamoja na ufanisi wa utendaji kazi wa taasisi husika endapo zisiporekebisha usalama wao wa mtandao. Hayo yanajiri baada ya ukaguzi uliofanywa na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mwaka wa ukaguzi wa mifumo ya teknolojia…

Read More

WASIRA: AMANI YETU NI URITHI, TUIHESHIMU

Na Mariam Mkamba, Tabora MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewataka Watanzania kuendelea kuiheshimu amani ya nchi kwani urithi wa kizazi hadi kizazi, huku akisisitiza kuwa wale wanaochochea uvunjifu wa amani iliyopo hawajui wanachokifanya. Akizungumza wilayani Urambo mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara yake ya kikazi ya kukagua uhai wa…

Read More

Namna bora ya usimamizi wa mali za familia

Rasilimali za kaya zinaweza kuwa ni fedha, muda, watu, na vifaa mbalimbali ambavyo vinakuwa ni vya msingi kwa maisha bora na ya utulivu. Kila kaya ina rasilimali hizi na inatakiwa kuzitumia kwa uangalifu ili kuepuka shida za kifedha, mkanganyiko, na ukosefu wa ustawi. Kwa hivyo, usimamizi mzuri wa rasilimali za kaya ni muhimu kwa sababu…

Read More

Hizi hapa njia za kumfanya mtoto awe na uelewa wa fedha

Katika dunia ya sasa ya kidijitali, kuwafundisha watoto kuhusu fedha inaweza kuonekana kama kazi ngumu. Lakini elimu ya fedha ni muhimu kufundishwa kwenye malezi ya watoto ili kutengeneza kizazi chenye kuwajibika kwenye misingi bora ya kifedha. Kutokana na hilo, leo tutaangalia njia saba za kuwalea watoto kwenye misingi imara ya kifedha. 1. Anza mapema na…

Read More

IPTL yaendelee kutikisika, deni lafikia bilioni 238

Moshi. Unaweza kusema jinamizi la kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) linaendelea kulitesa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), baada ya deni halisi na riba kufika Sh238.71 bilioni hadi kufikia Juni 30, 2024. Kubainika huko kunatokana na ripoti kuu ya mwaka ya ukaguzi wa mashirika ya umma kwa mwaka wa fedha 2023/2024…

Read More