300 wafanyiwa upasuaji wa macho

Mbeya. Watu 4,000 waliofanyiwa vipimo na madaktari bingwa wa macho wamebainika kuwa na uoni hafifu, kati hao 300 wamefanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya. Katika idadi hiyo watu 3,400 walimepatiwa miwani ya macho bure kulingana na ukubwa wa tatizo, huku watoto wawili wamepewa rufaa ya matibabu zaidi katika Hospitali Rufaa ya Taifa…

Read More

RAIS MWINYI ASHIRIKI SALA YA MAZISHI YA MAREHEMU SANYA

, ………………………… Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi katika Mazishi ya Marehemu Muhammad Ibrahim Sanya yaliofanyika Leo . Rais Dkt,Mwinyi aliwaongoza  Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Maiti  katika Msikiti Jibril Mkunazini , Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 22 Aprili 2025….

Read More

Ripoti ya CAG yabaini upungufu katika usimamizi wa data za elimujiolojia nchini

Ripoti ya ukaguzi wa utendaji kuhusu usimamizi wa data za kielimujiolojia katika sekta ya madini nchini imebaini mapungufu makubwa katika ukusanyaji, uchambuzi, uhifadhi na usambazaji wa taarifa hizo muhimu. Hali hiyo imeelezwa kuwa inahatarisha juhudi za Serikali za kuvutia wawekezaji na kufanikisha malengo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2021/22–2025/26. Ripoti hiyo…

Read More

WABUNGE WAITAKA WIZARA YA FEDHA IIPE FEDHA WIZARA YA TAMISEMI ITEKELEZE MAJUKUMU YAKE

****** Na Mwandishi wetu, Dodoma WABUNGE mbalimbali wameipongeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa ufanisi wao ambao wamekuwa wakiufanya katika kuhakikisha miundombinu, elimu, afya na mambo mengine yanafanyika kwa ustadi mkubwa. Akichangia bungeni bajeti ya TAMISEMI kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Mbunge wa jimbo la Korogwe Vijijini Mhe Timotheo…

Read More

JUKWAA LA KIMATAIFA LA UTALII WA VYAKULA KUKUTANISHA WABOBEZI WA UTALII ZAIDI YA 300

………….. Arusha Jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii Wa Vyakula la Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) Kanda ya Afrika lililoanza leo Aprili 22, 2025 jijini Arusha linatarajia kukutanisha washiriki takribani 300 wakijumuisha viongozi waandamizi katika sekta ya utalii na ukarimu, watumishi wa serikali, pamoja na wataalamu wa masuala ya upishi kutoka ndani na…

Read More

Serikali DRC yakamata mali za Kabila, kundi la M23 latajwa

Kinshasa. Hali ya DR Congo haijatulia licha ya jitihada mbalimbali za kusaka amani nchini humo. Mataifa kadhaa ya Afrika ikiwemo Tanzania, yalijitosa kuhakikisha DR Congo inakuwa na amani kutokana na machafuko yanayoendelea. Majeshi ya Serikali na makundi ya waasi yakiongozwa na M23 yamekuwa yakikabiliana na mpaka sasa miji kadhaa iko chini ya himaya za waasi….

Read More

POLISI WAJENGEWA UWEZO NA GH FOUNDATION.

Taasisi ya GH Foundation imefanikiwa kufanya warsha ya kuwajengea uwezo askari polisi, Maafisa ustawi wa jamii, waandishi wa habari na viongozi wa dini katika Kupambana na Ukatili wa Kijinsia.   Gifted Heart Foundation inayoongozwa na Godlisten Malisa iliwajengea uwezo huo kupitia warsha iliyofanyika wiki iliyopita katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, jijini Dar es…

Read More